Tusake pesa

Tusake pesa

Hahahha, bwashee now zaidi ya vijana 100 wanakula kwa kunitegemea mimi mlevi mmoja hapa๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
Bwashe wewe hata njiwa huna hao vijana mia moja umewatoa wapi

Dada yangu tu mmoja pekeyake Seran amekutoa kamasi hao vijana mia utawawezea wapi bashwee
 
Leo nimelewa nampigia b mkubwa kilevi levi , anacheka cheka tu , nakunipa maneno ya baraka za kutosha .

Hakuna mwanamke atakupa attention bila pesa wewe kijana mpumbavu ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
Tayari๐Ÿ™†โ€โ™‚๏ธ๐Ÿ™†โ€โ™‚๏ธ๐Ÿ™†โ€โ™‚๏ธ
 
Hii ni tabia ya wanawake na wazazi wa kichaga kwa ujumla, wanapenda mtoto kwa sababu.......

Naona tabia hii inaanza kwa wazazi wa makabila mengine pia ila origin yake ni wachaga
Kweli aiseeeh!๐Ÿ™†โ€โ™‚๏ธ
 
Hongera mgerasi nasikia umehama kutoka ile kampuni ya ulizi ya wachapa kazi security na sasa umehamia Garda world na umepelekwa lindo la Toyota pale posta

Hongera sana nazan leo hulindi usiku
We jamaa tulijua umekufa, au ulikua unapost kwa id nyingine? Maana kuna content humu ukisoma ni kama za mtu mmoja,
 
We jamaa tulijua umekufa, au ulikua unapost kwa id nyingine? Maana kuna content humu ukisoma ni kama za mtu mmoja,
Hapana kaka mimi sijafa niko mzima kabisa
Sema maisha magumu sana hivyo mda mwingi nakuwa kimiya sana

Na sinaga I'd nyingine toka najiunga miaka kumi iliyopita I'd yangu ni moja tu
 
Screenshot_2026-04-07_193846.jpg
 
Leo nimelewa nampigia b mkubwa kilevi levi , anacheka cheka tu , nakunipa maneno ya baraka za kutosha .

Hakuna mwanamke atakupa attention bila pesa wewe kijana mpumbavu ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
Kaka unatusimanga.๐Ÿ™ƒ๐Ÿ™‚๐Ÿ˜Š
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom