Katika kupiga hesabu zangu na kuziangalia nyota, kuwaza na kuwazua nimefikia hitimisho kuna uwezekano mkubwa tupo wenyewe huku ulimwenguni.
Dalili zote zinanionyesha uhai uliopo duniani, ni wakipekee na unaweza usipatikane popote pale ulimwenguni.
Kuna sababu nyingi zinazofanya niamini hivo, ikiwemo sayari nyingi kuorbit rwed dwarfs, cyano bacteria kuwa chimbuko la hapa kwetu na ukiangalia namna kila kitu kimekuwa tuned kwa mpangilio kuruhusu uhai hapa duniani.
Unadhani tupo wenyewe au huenda wapo wenzetu ambao hatuna tekinolojia ya kuwatambua kama wapo.