de Gunner
JF-Expert Member
- Nov 2, 2021
- 10,256
- 20,458
Nataka leo usilale vizuriSawa,naona ushanipania😁
Nataka leo usilale vizuriSawa,naona ushanipania😁
Wewe sio Mungu😁Nataka leo usilale vizuri
Haya msubirie huyo Mungu ambae unadhani ndo atakufufua ukifaWewe sio Mungu😁
Daah,wewe hauamini uwepo wa Mungu?Haya msubirie huyo Mungu ambae unadhani ndo atakufufua ukifa
Naamini tena sanaDaah,wewe hauamini uwepo wa Mungu?
Naongeza hapo mbili nyingine ziwe jumla nne na nitalipia bili ya hilo ongezeko la bia mbili.Hebu fanya uende ukapate bia mbili kwenye bar iliyopo karibu nawe uchangamshe akili. Nitakuja kulipa bill.
Nanukuu: "Siri kubwa si kama kuna viumbe wengine, bali ni njia gani tutaitumia kutambua uwepo wake"Inawezekana kabisa tuko peke yetu, lakini bado hatuna ushahidi wa kutosha kusema hivyo.
Ulimwengu ni mkubwa mno, huenda uhai mwingine upo, ila umbali, muda na teknolojia vimetufanya tusiuone.
Siri kubwa si kama kuna viumbe wengine, bali ni njia ya gani tutaitumia kutambua uwepo wake🤔
Aliens ambao wakija Duniani wanaishia Marekani tu?Hatuna uwezo huo kwa sasa.
Ila huenda kuna aliens
Tatizo la binadamu ni kujipa umuhimu.Vipo viumbe vingi tu tena vilivyo bora kuliko sisi
Mnaamini nyie na sio mimi bwasheeNanukuu: "Siri kubwa si kama kuna viumbe wengine, bali ni njia gani tutaitumia kutambua uwepo wake"
Hii imekaa vizuri na ndipo kwa kutokujua njia ya kutamba uwepo wake tunajikuta tunaishia kwenye Kuamini i.e. Imani. Kwa mfano tupotunaoamini uwepo wa viumbe wanaoitwa malaika, majini n.k. na hatujawahi kuwaona - tuaamini ivo ivo maisha yaendelee.
Unaambiwa mpaka kufikia hapa tulipo ki technology yetu yote na mwisho wa upeo wetu tuna uwezo wa ku explore only 5% ya vitu tunavyoviona ulimwenguni na kushika kama sio kuvifikia ila kuna kama 95% ni darkness hatuna uwezo bado wa kuviona au kuvishika kama sio kuvifikia..Katika kupiga hesabu zangu na kuziangalia nyota, kuwaza na kuwazua nimefikia hitimisho kuna uwezekano mkubwa tupo wenyewe huku ulimwenguni.
Dalili zote zinanionyesha uhai uliopo duniani, ni wakipekee na unaweza usipatikane popote pale ulimwenguni.
Kuna sababu nyingi zinazofanya niamini hivo, ikiwemo sayari nyingi kuorbit rwed dwarfs, cyano bacteria kuwa chimbuko la hapa kwetu na ukiangalia namna kila kitu kimekuwa tuned kwa mpangilio kuruhusu uhai hapa duniani.
Unadhani tupo wenyewe au huenda wapo wenzetu ambao hatuna tekinolojia ya kuwatambua kama wapo.
Una ushahidi na hili? Tuambie ulikufa lini ukagundua haya mpaka ukatuletea hii taarifaNani aliye kudanganya?
Ukifa, imekufa... Unageukakuwa mbolea.. Yaani hakuna tofauti na mbolea
Ubora wa maumbo au akili?Vipo viumbe vingi tu tena vilivyo bora kuliko sisi
Habari za uwepo wa Aliens ni Myth, hawapo.Kwa jinsi ulimwengu ulivyokuwa mkubwa (infinite) na unavyoendelea kuwa expanded, bado tuna mengi ya kugundua na kujifunza, pasina shaka mbali na wale 👽 aliens tuliokwisha sikia fununu zao upo uwezekano wa viumbe wengine wa ajabu katika maeneo mengine ya hii observable universe tunayoweza kuiona tu achilia mbali sehemu zingine za mbali ambazo even with powerful telescope hatuwezi kuziona.