de Gunner
JF-Expert Member
- Nov 2, 2021
- 10,256
- 20,451
Mbona ukimla samaki huoni kama akifa harudi?Haya mambo ya kufa yaacheni,maana hakuna aliyewahi kwenda na akarudi.
Mbona unajipa umuhujiimu?
Mbona ukimla samaki huoni kama akifa harudi?Haya mambo ya kufa yaacheni,maana hakuna aliyewahi kwenda na akarudi.
Soma vizuriHaya sijakuelewa point yako
Yani haujawa straight..Soma vizuri
Uhai sio elements...Unajua mwili wako umeundwa kwa elements gani? Na je ukifa hizo atoms zako zinaweza kuwa uhai tena?
Umesema uwenda Kuna eliens sindiyo ?Yani haujawa straight..
Umeandika bila utulivu
😷Mbona ukimla samaki huoni kama akifa harudi?
Mbona unajipa umuhujiimu?
Umesha wahi kufikiria kuhusu pyramids na technology iliyo tumia kuzi jenga?Umesema uwenda Kuna eliens sindiyo ?
Hakuna ushahidi thabiti unaothibitisha kwamba aliens wapo, hivyo hatupaswi kuchukulia hilo kama ukweli uliothibitishwa Kuna watu wanaodhani kwamba kile kinachoitwa aliens kinaweza kuwa kinaelezewa kupitia dhana za kiroho kama demons au entities nyingine zisizojulikana lakini hiyo bado ni theory Na kama tunadai kwamba akili au awareness ya aliens iko mbali sana na uwezo wa kawaida wa mwanadamu, basi swali linabaki tunawezaje kusema kwa uhakika kwamba tunaweza kuwaelewa, kuwasiliana nao au kushirikiana nao wakati tunadai hata sehemu ya uwezo wao wa kufikiri bado hatujaifikia? Hapa nadhani umenielewa.
Pole sana rafiki.
Exactly ndomana nkasema eliens hawapo , sema tu ni Jina linalotumika kurepresent entities nyingine kama demons na viumbe wengine wasio wakawaida.Umesha wahi kufikiria kuhusu pyramids na technology iliyo tumia kuzi jenga?
Hakuna binadamu before ambaye kwa sasa Angekuwa more evolved kujenga vitu kama hivyo..
So kuna possibility pyramids zimejengwa na viumbe wa tofauti kabisa na binadamu
Sasa unajua hata maana ya aliens?Exactly ndomana nkasema eliens hawapo , sema tu ni Jina linalotumika kurepresent entities nyingine kama demons na viumbe wengine wasio wakawaida.
Gallaxy - Milky Way.Katika kupiga hesabu zangu na kuziangalia nyota, kuwaza na kuwazua nimefikia hitimisho kuna uwezekano mkubwa tupo wenyewe huku ulimwenguni.
Dalili zote zinanionyesha uhai uliopo duniani, ni wakipekee na unaweza usipatikane popote pale ulimwenguni.
Kuna sababu nyingi zinazofanya niamini hivo, ikiwemo sayari nyingi kuorbit rwed dwarfs, cyano bacteria kuwa chimbuko la hapa kwetu na ukiangalia namna kila kitu kimekuwa tuned kwa mpangilio kuruhusu uhai hapa duniani.
Unadhani tupo wenyewe au huenda wapo wenzetu ambao hatuna tekinolojia ya kuwatambua kama wapo.
Viumbe waliopo nje ya dunia ambao sio sehemu ya maisha ya hapa ulimwenguniSasa unajua hata maana ya aliens?
Sasa kuna tofauti gani na maelezo yako?Viumbe waliopo nje ya dunia ambao sio sehemu ya maisha ya hapa ulimwenguni
Maana angu ni kwamba hakuna viumbe nje na sayari yetu kwahiyo hakuna kitu kinaitwa aliensSasa kuna tofauti gani na maelezo yako?
Unaweza kukuta wao pia ni light beingsMaana angu ni kwamba hakuna viumbe nje na sayari yetu kwahiyo hakuna kitu kinaitwa aliens
Nimezaliwa na kuishi,Mimi sitokufa.📌Pole sana rafiki.
Kuna muda inatupaswa tuwe wa kweli na kuacha ego zetu zife. Wewe hauna umuhimu huo.. Ukifa umekufa tu
Nashindwa kukuelewa (kwa sauti ya semaji)Nimezaliwa na kuishi,Mimi sitokufa.📌
Hahaha, bro, your mind just went beyond the normal limits.Unaweza kukuta wao pia ni light beings
Ambao wa naweka kuexists without being seen.. Au labda wana oversee dunia kupitia telepathic abilities
Sawa,naona ushanipania😁Nashindwa kukuelewa (kwa sauti ya semaji)
My friend, wewe ukifa umeenda..
Unafutika kama jinsi moto hugeuka kuwa majivu...
Yaani unakuwa chakula ya funza..
Nafsi nayo hutudi iliko toka, unakuwa sio wewe tena