Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

Huyu jamaa yeye anaamini maisha unayatengeneza kwa mshahara tu kitu ambacho kwa mtu ambae anataka kufanikiwa ni haiwezekani, side hust narudia tena side hustle

Hawa ndo wakikaaga wakiona mtu ana kipato cha kawaida halafu kafanikiwa wanasema huyu kaua ndugu hahah atembee aone
- Side hustle mbona % kubwa ya askari wanaomba uhamisho kwenda kwenye mashirika ya umma? Si wangebaki huko huko, mtu unafanya kazi miaka 10 unalipwa 1.5m na viposho vya chai lazima uhame
-Mimi binafsi sijawahi kuona askari magereza anaGorofa, lakini maofisa wa tra, ngorongoro,bodi ya michezo ya kubahatisha wengi sana nimewaona Wana magorofa,
- Mimi niliacha kazi nilikuwa senior land surveyor, nikaacha kazi nikaenda kujiajiri
 
We Tra nani bhana, hawa hawa Tra ambao wanakula rushwa kwenye biashara za watu na ukiwanyima wanakufungia biashara hivi unajua watu wanaokula mshahara mzuri wewe

Hivi ndo unasema wanalipwa vizuri, hapo majority mshahara ni wa kawaida sana kama ulishafanya biashara utagundua hawa jamaa ni wana njaa mno 👇👇👇
- ofisa wa tra analipwa mara 5 ya ofisa wa magereza, police nk
-Tra Kuna mkurugenzi mkuu?
Umeishia darasa la ngapi? Tra inaongozwa na Kamishna Mkuu, akisaidiwa naibu Kamishna Mkuu,chini yake Kuna MakaMishna wa idara mbalimbali like Kamishna wa forodha na ushuru wa bidhaa, Kamishna wa kodi za ndani, Kamishna wa vat, Kamishna wa large tax payers, halafu kuna wakurugenzi, chini yake Kuna Mameneja wa mikoa,meneja wa wilaya.
  • Tra Kuna mtu anaitwa mchambuzi wa kodi? Wanaitwa Tax Auditors (wakaguzi wa kodi) Hawa kazi yao ni kufanya hesabu Kwa njia ya ukaguzi na kukuandikia kodi unayotakiwa kulipa.
  • ulivyokuwa mjinga, yaani principal tax management officer anazidiwa na senior tax officer? Kati ya senior na principal nani mkubwa kicheo? Ndio maana nikakwambia kuwa hiyo ni taarifa ya uongo,
 
  • Thanks
Reactions: apk
- . Ndio sasa umeelewa hoja yangu kwamba kuna baadhi ya vitu like discovery ukimkuta ofisa wa tra anaendesha hushangai, Ila

-Sasa unajilinganisha na maofisa wa tra? hivi unajua mshahara wa ofisa wa tra anayeanza kazi anamzidi ACP,?
-Sio story za Vijiweni Mimi ni consultant nimefanya consultancy hadi kwenye mashine ya umma, Kuna mengi mazuri
- hama huko wenzio wanacheki fursa kwenye mashirika ya umma wewe umekomaa kuingia gadi, mafungio,
Chifu bhana Unaamini sana kwenye mshahara kaka...
 
- Side hustle mbona % kubwa ya askari wanaomba uhamisho kwenda kwenye mashirika ya umma? Si wangebaki huko huko, mtu unafanya kazi miaka 10 unalipwa 1.5m na viposho vya chai lazima uhame
-Mimi binafsi sijawahi kuona askari magereza anaGorofa, lakini maofisa wa tra, ngorongoro,bodi ya michezo ya kubahatisha wengi sana nimewaona Wana magorofa,
- Mimi niliacha kazi nilikuwa senior land surveyor, nikaacha kazi nikaenda kujiajiri
Nani kakwambia saa hivi kuna hicho kitu cha kuhama kama unavyodai wewe, saa hivi acha kazi ndo uende unakokutaka Sema tunabishana na watu ambao wapo kwa mfumo kwa hiyo sio kosa lako.

Kwani kwako wewe ghorofa ndo kipimo cha kwamba umetoboa au wewe huna ndo maana unaona ni kipimo kizuri cha kwamba wewe ni Tajiri, kuna watu mimi nawafahamu ni wana hela kinyama hata hao unaowaongelea wakasome lakini hivyo vi ghorofa unavyodai hawana na kuna nnao waahamu huu mkoa nnao ishi wanafanya kazi Tra hizo ghorofa hawana yani unawafagilia mpaka wenyewe wakiona reply zako hivi wancheka wewe hujui wanaolipwa vizuri wewe
 
- ofisa wa tra analipwa mara 5 ya ofisa wa magereza, police nk
-Tra Kuna mkurugenzi mkuu?
Umeishia darasa la ngapi? Tra inaongozwa na Kamishna Mkuu, akisaidiwa naibu Kamishna Mkuu,chini yake Kuna MakaMishna wa idara mbalimbali like Kamishna wa forodha na ushuru wa bidhaa, Kamishna wa kodi za ndani, Kamishna wa vat, Kamishna wa large tax payers, halafu kuna wakurugenzi, chini yake Kuna Mameneja wa mikoa,meneja wa wilaya.
  • Tra Kuna mtu anaitwa mchambuzi wa kodi? Wanaitwa Tax Auditors (wakaguzi wa kodi) Hawa kazi yao ni kufanya hesabu Kwa njia ya ukaguzi na kukuandikia kodi unayotakiwa kulipa.
  • ulivyokuwa mjinga, yaani principal tax management officer anazidiwa na senior tax officer? Kati ya senior na principal nani mkubwa kicheo? Ndio maana nikakwambia kuwa hiyo ni taarifa ya uongo,
Wewe ukwepeshe vipi ila mishahara yao ndo hiyo
 
Wewe ukwepeshe vipi ila mishahara yao ndo hiyo
  • kama hiyo ndio mishahara ya maofisa wa tra basi ofisa wa police atakuwa analipwa laki3, tax management officer alipwe 1.2m umesikia tra ni mambo ya ndani? Hakuna ofisa analipwa chini ya 3m
  • sikwepeshi mambo ya ndani usilinganishe na wizara ya fedha, taasisi zilizochini ya wizara ya fedha Zina pesa TRA,TIRA, SELF MICROFINANCE,HAZINA, zote hizo Zina hela
-
 
  • Thanks
Reactions: apk
-Sasa unajilinganisha na maofisa wa tra? hivi unajua mshahara wa ofisa wa tra anayeanza kazi anamzidi ACP,?
-Sio story za Vijiweni Mimi ni consultant nimefanya consultancy hadi kwenye mashine ya umma, Kuna mengi mazuri
- hama huko wenzio wanacheki fursa kwenye mashirika ya umma wewe umekomaa kuingia gadi, mafungio,
We jamaa kila mtu akiwa against na wewe huwa unalazimisha kuwa na yeye anatokea huko huko anakotetea, ndege tAi baada ya kuwa against na wewe ukamvisha upoti wakati mwenyewe kasema hayupo huko ila ni anapenda tu hizo kazi
Sasa mimi kila siku nakuambia hizo unazonivisha acha mzee na hii ni zaidi ya mara3 nakuambia na nilikuambia sitawahi kukuambia nafanya ishu gani kwenye mada ya Tpdf ukasema nipo huko, kwenye mada ya Magereza napo ukasema nipo huko na saa hivi unasema me ni Polisi na imebaki kwenye Jeshi Usu
 
  • Thanks
Reactions: apk
Nani kakwambia saa hivi kuna hicho kitu cha kuhama kama unavyodai wewe, saa hivi acha kazi ndo uende unakokutaka Sema tunabishana na watu ambao wapo kwa mfumo kwa hiyo sio kosa lako.

Kwani kwako wewe ghorofa ndo kipimo cha kwamba umetoboa au wewe huna ndo maana unaona ni kipimo kizuri cha kwamba wewe ni Tajiri, kuna watu mimi nawafahamu ni wana hela kinyama hata hao unaowaongelea wakasome lakini hivyo vi ghorofa unavyodai hawana na kuna nnao waahamu huu mkoa nnao ishi wanafanya kazi Tra hizo ghorofa hawana yani unawafagilia mpaka wenyewe wakiona reply zako hivi wancheka wewe hujui wanaolipwa vizuri wewe
-hivi unajua gharama ya kujenga Slab 1 ya gorofa la square mita 200 ni sh ngapi? Kujenga ghorofa sio rahisi kama unavyodhani
- Sijui wanaolipwa vizuri, ukitaja taasisi 10 zinazolipa vizuri tra imo ndani yake, mambo ya ndani imo? mshahara wa 857000 ukiupeleka tra hii ni allowance ya nyumba
 
We jamaa kila mtu akiwa against na wewe huwa unalazimisha kuwa na yeye anatokea huko huko anakotetea, ndege tAi baada ya kuwa against na wewe ukamvisha upoti wakati mwenyewe kasema hayupo huko ila ni anapenda tu hizo kazi
Sasa mimi kila siku nakuambia hizo unazonivisha acha mzee na hii ni zaidi ya mara3 nakuambia na nilikuambia sitawahi kukuambia nafanya ishu gani kwenye mada ya Tpdf ukasema nipo huko, kwenye mada ya Magereza napo ukasema nipo huko na saa hivi unasema me ni Polisi na imebaki kwenye Jeshi Usu
-jitahidi uhamie kwenye taasisi za maana,
- Mimi binafsi ni Land surveyor nalipwa consultation fee nzuri tu kuliko hayo makombo ya laki3,laki1,laki1,1
 
Jamani nia na madhumuni ya Uzi huu ni kupeana updates mbalimbali Kwa wale tulio omba ajira za jeshi la polisi 2024 kama Kuna yeyote anajua chochote kuhusiana na CCP akuje atupe mwanga, mbinu za kutoboa pamoja na life la huko

Asantni🙏
Hakuna siri. Sasa we na degree yako ukipata kazi baada ya kumaliza mafunzo kule CCP unaanza kulinda bank au kwa mkuu wa mkoa kama miaka mitano halafu uliomaliza nao chuo wanakuja bank kufanya yao wewe unatoa macho.
 
  • Thanks
Reactions: apk
Hakuna siri. Sasa we na degree yako ukipata kazi baada ya kumaliza mafunzo kule CCP unaanza kulinda bank au kwa mkuu wa mkoa kama miaka mitano halafu uliomaliza nao chuo wanakuja bank kufanya yao wewe unatoa macho.
Kwani na wale wa degree nao huwaga wanalinda bank??
 
wewe wa fani utavumilia kuwa mlinzi miaka mitano au zaidi? Maana kabla hawajakupa nyota yako lazima uwe mlinzi wa geti au kwenye nyumba za viongozi usiku au kwenye ma bank
Mbona mnadanganya watu!? Ukiajiriwa kwa elimu yako either Diploma,Degree ya kitu flani....mkitoka mafunzoni kwenda mikoani au wengine HQ na kwenye vikosi mbalimbali kama Reli,Ufundi,Band wale wa mikoani kuna ambao wanapangwa wilayani na wengine kwa RPC...mkifika mkoani kuna utayari mnafanya tenaa baada ya kutoka TPS ila mkishamaliza huo utayari ndo kila mtu anapelekwa alikopangiwa na wale wa mkoani mara nyingi wanakuaga na elimu mfano Wahasibu,,Forensic,,,HR,,,etc mtapiga malindo na kuingia CRO kwa miezi kidgo ili kupata uzoefu wa hapo then baadae mnaenda kwenye Section zenu mlizopangwa nazo As hapo RPC....wanaobaki kupiga malindo daily ni hawa 4m4,na 6 iwe GD au Field force kwanza ni lazima ujue piaa hta force number zinatofautiana kwa 4m4 na 6 ukicompare na Degree..mtu aliyeajiriwa kwa elimu yake iwe Diploma flani au degree flani anaenda kufanya kazi kwa kile alichosomea directly kwa sababu hata mshahara anapokeaa kulingana na elimu yake aliyoajiriwa nayo.Kuhusu Cheo hiko ni baada ya miaka kadhaa sasa kulingana na upandishwaji.
 
Mbona mnadanganya watu!? Ukiajiriwa kwa elimu yako either Diploma,Degree ya kitu flani....mkitoka mafunzoni kwenda mikoani au wengine HQ na kwenye vikosi mbalimbali kama Reli,Ufundi,Band wale wa mikoani kuna ambao wanapangwa wilayani na wengine kwa RPC...mkifika mkoani kuna utayari mnafanya tenaa baada ya kutoka TPS ila mkishamaliza huo utayari ndo kila mtu anapelekwa alikopangiwa na wale wa mkoani mara nyingi wanakuaga na elimu mfano Wahasibu,,Forensic,,,HR,,,etc mtapiga malindo na kuingia CRO kwa miezi kidgo ili kupata uzoefu wa hapo then baadae mnaenda kwenye Section zenu mlizopangwa nazo As hapo RPC....wanaobaki kupiga malindo daily ni hawa 4m4,na 6 iwe GD au Field force kwanza ni lazima ujue piaa hta force number zinatofautiana kwa 4m4 na 6 ukicompare na Degree..mtu aliyeajiriwa kwa elimu yake iwe Diploma flani au degree flani anaenda kufanya kazi kwa kile alichosomea directly kwa sababu hata mshahara anapokeaa kulingana na elimu yake aliyoajiriwa nayo.Kuhusu Cheo hiko ni baada ya miaka kadhaa sasa kulingana na upandishwaji.
mimi ngoja nicheke tu
 
Back
Top Bottom