Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

Mimi sio mwenzenu kaka japo mpaka sasa hv napenda masuala ya jeshi jeshi sana
Mwenzao kina nanii!? Hakuna potii hapaa sie waganga njaaa tuu tupo hapa tuna jinx tu...ila Ndege Tai bhana ulipoteaga ukarudi mwaka jana jana Octber watu walikupongeza kwenye Uzi kwa kumaliza Depo ila hua unakana mzee😅😅Sema freshh
 
Mwenzao kina nanii!? Hakuna potii hapaa sie waganga njaaa tuu tupo hapa tuna jinx tu...ila Ndege Tai bhana ulipoteaga ukarudi mwaka jana jana Octber watu walikupongeza kwenye Uzi kwa kumaliza Depo ila hua unakana mzee😅😅Sema freshh
Kumbe poti, mwambie apambane aombe Uhamisho kuna mapoti kibao wamehamia kwenye mashirika ya umma
 
Tatizo mkuu ww unafanya comparison ya TRA na Wizara mambo ya ndani,hapo ndio unapokosea
Salary scale zao ni tofauti kabisa ,,,,
Tukirudi nyuma kwenye mada yako ulionyesha dhahiri kwamba hakuna soja mwenye life status nzuri,the thing which is not true ndio maana nikakuambia kuna watu wana side hustles na zimekubali kweli kweli
- . Ndio sasa umeelewa hoja yangu kwamba kuna baadhi ya vitu like discovery ukimkuta ofisa wa tra anaendesha hushangai, Ila kukuta inspector anaendesha discovery unashangaa kwa sababu kipato chake ni robo kwa ofisa wa tra
 
Mwenzao kina nanii!? Hakuna potii hapaa sie waganga njaaa tuu tupo hapa tuna jinx tu...ila Ndege Tai bhana ulipoteaga ukarudi mwaka jana jana Octber watu walikupongeza kwenye Uzi kwa kumaliza Depo ila hua unakana mzee😅😅Sema freshh
NIpo mzee kanda ya ziwa napambana kulima na kufanya biashara za mazao sema ndoto yangu nilikua napenda sana niwe COMANDO wa JESHI Mwenye level kubwa ya elimu......
 
Jobless acheni kubishana ujinga nendeni mkaombe nafasi za magereza zimetangazwa. NOTE MAFANIKIO YA MTU YANATOKANA NA JITIHADA BINAFSI. hata ukilipwa milioni 10 kama hauna nidhamu ya pesa, mafanikio utayasikia kwa jirani. Asante nawasilisha
Hatukua tunabishana ila nilikua namtolea dhana yake negative kwamba hamna Mapot ambao kimaisha wamejipata
 
Hapana ila nimeishi maisha yangu mengi na watu waliopita ccp kwa kifupi Mimi ni mtoto wa kota...! Police wamenilea na kunisomesha...!

Hakuna jambo la police ambalo silifahamu😂😂😂​
Vijana Wapya Depo CCP Moshi Watakuwa kozi Kwa kipindi Gani? Miezi 6 au 9 Au MWAKA?
 
  • kipato Cha konstebo ni kidogo sana, hayo maisha unayoyasemea ni kayapata Kwa kubambikia kesi nk
  • Jiulize Kwa nini ukiona police, magereza, uhamiaji anamiliki Discovery watu wanashangaa lakini Kwa ofisa wa tra, ngorongoro, EWURA, watu hawashangai?
  • Ukitaka kuthibitisha nenda makao makuu ya TRA pale Stesheni utaona aina za magari ya kifahari yaliyopaki, uende makao makuu ya Police, magereza, uhamiaji sanasana utakuta ist,vitz tena nyingi zile chakavu
  • Umetoa sample ya Police wawili tu,
Wewe jamaa hivi huwa unashirikisha ubongo wako kweli?

Narudia acha kukariri mzee, wewe kila unaemuona amefanikiwa ki maisha ni ametumia njia ambazo sio basi kama ni hivyo asilimia kubwa ya Mapolisi ni wana hela sababu wanakula rushwa sio?

Acha hizo wewe watu wanajiongeza, akili za kijasiriamali zimelala pale acha kukebehi watu me yule jamaa namfahamu na hadi anachokifanya kinajulikana kwa hiyo acha dharau

Hao wawili ni mimk nnao wafahamu ila kuna wengine zaidi na zaidi, yani wewe Mfano Mwalimu akifanikiwa utasema kuwa huyu anapiga dili haramu ndo maana kafanikiwa,tuliza kichwa watu kwenye maisha ya kawaida wanajiongeza kinoma
 
Ndio maana ni ajabu kwao kumiliki cx5 lakini Kwa ofisa wa tra anayelipwa mara 7 yako sio ajabu,
Huyo konstebo akienda kukopa hata 15m hapati
-Jitahidi uende TRA ufanye kazi huko
Hahaha! We jamaa ni mbishi halafu nimegundua unapenda sikiliza stori za vichochoroni sana ndo maana una kuja kudanganya hapa
 
Tatizo mkuu ww unafanya comparison ya TRA na Wizara mambo ya ndani,hapo ndio unapokosea
Salary scale zao ni tofauti kabisa ,,,,
Tukirudi nyuma kwenye mada yako ulionyesha dhahiri kwamba hakuna soja mwenye life status nzuri,the thing which is not true ndio maana nikakuambia kuna watu wana side hustles na zimekubali kweli kweli
Huyu jamaa yeye anaamini maisha unayatengeneza kwa mshahara tu kitu ambacho kwa mtu ambae anataka kufanikiwa ni haiwezekani, side hust narudia tena side hustle

Hawa ndo wakikaaga wakiona mtu ana kipato cha kawaida halafu kafanikiwa wanasema huyu kaua ndugu hahah atembee aone
 
Hahaha! We jamaa ni mbishi halafu nimegundua unapenda sikiliza stori za vichochoroni sana ndo maana una kuja kudanganya hapa
-Sasa unajilinganisha na maofisa wa tra? hivi unajua mshahara wa ofisa wa tra anayeanza kazi anamzidi ACP,?
-Sio story za Vijiweni Mimi ni consultant nimefanya consultancy hadi kwenye mashine ya umma, Kuna mengi mazuri
- hama huko wenzio wanacheki fursa kwenye mashirika ya umma wewe umekomaa kuingia gadi, mafungio,
 
Wewe jamaa hivi huwa unashirikisha ubongo wako kweli?

Narudia acha kukariri mzee, wewe kila unaemuona amefanikiwa ki maisha ni ametumia njia ambazo sio basi kama ni hivyo asilimia kubwa ya Mapolisi ni wana hela sababu wanakula rushwa sio?

Acha hizo wewe watu wanajiongeza, akili za kijasiriamali zimelala pale acha kukebehi watu me yule jamaa namfahamu na hadi anachokifanya kinajulikana kwa hiyo acha dharau

Hao wawili ni mimk nnao wafahamu ila kuna wengine zaidi na zaidi, yani wewe Mfano Mwalimu akifanikiwa utasema kuwa huyu anapiga dili haramu ndo maana kafanikiwa,tuliza kichwa watu kwenye maisha ya kawaida wanajiongeza kinoma
  • sample yako ni ndogo, na ndio maana unashindwa kutetea hoja yako,
  • ndio maana hata wewe mwenyewe una mifano michache sana ya kuhesabu
  • Hapo mtaani kwako angalia % kubwa ya wenye magorofa ni watu wa taasisi gani,mambo ya ndani au wapi
 
  • Thanks
Reactions: apk
- . Ndio sasa umeelewa hoja yangu kwamba kuna baadhi ya vitu like discovery ukimkuta ofisa wa tra anaendesha hushangai, Ila kukuta inspector anaendesha discovery unashangaa kwa sababu kipato chake ni robo kwa ofisa wa tra
We Tra nani bhana, hawa hawa Tra ambao wanakula rushwa kwenye biashara za watu na ukiwanyima wanakufungia biashara hivi unajua watu wanaokula mshahara mzuri wewe

Hivi ndo unasema wanalipwa vizuri, hapo majority mshahara ni wa kawaida sana kama ulishafanya biashara utagundua hawa jamaa ni wana njaa mno 👇👇👇
 

Attachments

  • downloadfile-10.jpg
    downloadfile-10.jpg
    73.7 KB · Views: 16
  • downloadfile-10.jpg
    downloadfile-10.jpg
    73.7 KB · Views: 20
Back
Top Bottom