pamoja Santa
JF-Expert Member
- Jan 6, 2019
- 1,108
- 1,599
SawaKakaa achana nayoo Tuu vijana wa humu hata uwaeleze vipi bado wataendelea kushikiliaa ujinga walionaoo...ulishawaeleza hawaelewi Achana Nao waendelee kukumbatiaa uongo wanaouamini.
SawaKakaa achana nayoo Tuu vijana wa humu hata uwaeleze vipi bado wataendelea kushikiliaa ujinga walionaoo...ulishawaeleza hawaelewi Achana Nao waendelee kukumbatiaa uongo wanaouamini.
Umeiweka vizuri chifuInategemea uhitaji wa elimu yako kwenye kituo husika. Kama umesomea uhasibu ila kituoni kwako wahasibu wapo, basi wewe unakuwa kwenye kazi za kawaida, ulinzi ikiwemo.
Ila hii inatokana hasa na askari aliyeajiriwa form 4 lakini yeye akajiendeleza binafsi. Sababu, wakati unajiendeleza, ofisi inawezekana kwa muda huo haina uhitaji, kwahiyo unamaliza degree basi utapiga kazi za ulinzi ila mshahara wako utapandishwa.
Ila kama umeajiriwa na degree moja kwa moja, maana yake, ofisi inawahitaji hivyo ukipangiwa kituo, unaenda kuitumikia degree yako. Kama umesomea mifugo, basi utakuwa unatibu farasi na mbwa. Kama Daktari, utaenda hospitali. Kama Engineer, utaenda kwenye garage au viwanda, kama IT, utaenda ofisi yako ya IT.
HAhaha unaawachokozaMo29 vipi ma police
HahahHAhaha unaawachokoza
Wanakimbizana na maishaHahah
Nimeona kimya sana tangu mwez 8
Watu wamesusa
Kwa kilichhotokea 2025 kuna watu wataaply tena hizi kazi kweli?Mwaka kesho hakuja bogi?😃
Ronja zikikaribia au ndo uzi utafufuka
Mtaani kugumuKwa kilichhotokea 2025 kuna watu wataaply tena hizi kazi kweli?
Wakuu tuanzisheni kampeni hakuna mtu kwenda upolisi wakuu....hii ni kazi ya fedheha na laana
Na waliopo tuwahamasishe waache kazi?Wakuu tuanzisheni kampeni hakuna mtu kwenda upolisi wakuu....hii ni kazi ya fedheha na laana
Yes kwasababu vipesa vyao vidogo🤣Na waliopo tuwahamasishe waache kazi?
Hahhhaha hivi polisi mwenye degree analamba ngapi?Yes kwasababu vipesa vyao vidogo🤣
1.6+ million hii ni pamoja na posho zake pia huyu ni ana bachelor ya kawaida manake kama atakuwa na I.T au MD itakuwa zaidi ya hapo au kama atakuwa na kitengo pia itakuwa zaidi ya hapoHahhhaha hivi polisi mwenye degree analamba ngapi?
Waliojiunga na Mafunzo mwaka huu 2025 wanamaliza Kozi lini? Maana miezi siku zinaenda SanaMbona mnadanganya watu!? Ukiajiriwa kwa elimu yako either Diploma,Degree ya kitu flani....mkitoka mafunzoni kwenda mikoani au wengine HQ na kwenye vikosi mbalimbali kama Reli,Ufundi,Band wale wa mikoani kuna ambao wanapangwa wilayani na wengine kwa RPC...mkifika mkoani kuna utayari mnafanya tenaa baada ya kutoka TPS ila mkishamaliza huo utayari ndo kila mtu anapelekwa alikopangiwa na wale wa mkoani mara nyingi wanakuaga na elimu mfano Wahasibu,,Forensic,,,HR,,,etc mtapiga malindo na kuingia CRO kwa miezi kidgo ili kupata uzoefu wa hapo then baadae mnaenda kwenye Section zenu mlizopangwa nazo As hapo RPC....wanaobaki kupiga malindo daily ni hawa 4m4,na 6 iwe GD au Field force kwanza ni lazima ujue piaa hta force number zinatofautiana kwa 4m4 na 6 ukicompare na Degree..mtu aliyeajiriwa kwa elimu yake iwe Diploma flani au degree flani anaenda kufanya kazi kwa kile alichosomea directly kwa sababu hata mshahara anapokeaa kulingana na elimu yake aliyoajiriwa nayo.Kuhusu Cheo hiko ni baada ya miaka kadhaa sasa kulingana na upandishwaji.
Yaani posho na mshahara ndio 1.6m, hii ni posho ya extraduty ya ofisa wa tra1.6+ million hii ni pamoja na posho zake pia huyu ni ana bachelor ya kawaida manake kama atakuwa na I.T au MD itakuwa zaidi ya hapo au kama atakuwa na kitengo pia itakuwa zaidi ya hapo
Umeanza mambo yako!Yaani posho na mshahara ndio 1.6m, hii ni posho ya extraduty ya ofisa wa tra