Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,405
- 88,864
Hahahahahhahaaa eti kwa muda.Wapo Sana tu mbona wengine wamebadili Kwa muda
Hahahahahhahaaa eti kwa muda.Wapo Sana tu mbona wengine wamebadili Kwa muda
InshallahDaaahhh.....me hapa mwingine.......hope mwakan utakuja kutoa ushuhuda....kaa wengine walivyo fanya leo.....1 2 3 love u, 4 5 6 i mic u.....ili song nalipenda sana
Ahahaa pale kwetu wahenga sijui bna pale naendaga jmosi kula penshen zetuHamnaga band inakesha sasa. Pale kwa wastaafu hivi kunakuaga na band leo kweli?
Yaan ndio maana Mimi sitaki I'd mpyaHahahaa mtu unaweza kujikuta unamdate ex wako wallah
Hahahaa. Target band yao nzuri. Ndo napoanza kuimiss sky light sasa nikiwaza band za ijumaa.Ahahaa pale kwetu wahenga sijui bna pale naendaga jmosi kula penshen zetu
Nenda kwenye Uzi wako wa vipodoziHahahaa mtu unaweza kujikuta unamdate ex wako wallah
Ukionana sisi hatubadili ujue moyo mgumu,Ahahaaa
AhahaaHahahaa mtu unaweza kujikuta unamdate ex wako wallah
Wanaume wanapenda uchi tu hata hawajitambuiMungu anisaidie kumpata tutakayeendana naye na mwenye true love sio muongo ni mhuni mhuni. Hapo kuishi uhalisia ni kawaida ila sio kwa kuishi na muongo
Kuokoka hakupo duniani bna .ishi zako kwa wema inatoshaHahahaa nimeamua kuokoka ila wokovu naona haunitaki kabisa
AiseeNiko na madem wa3,.ni wazur sana kimwonekano,ila wote siwapend kutoka rohon...nipo nao tu kula ujana..niliempenda tuliachana miaka6 iliyopita,na mwingne mwaka m1 uliopita,from there sjapenda tena had leo.
Amekusikia Demiss. Bila shaka hutakuwa tena mpwekeKuna mtu nataka nianzishe naye mahusiano tena iwe couple imara kama the bold na nifah popote alipo ukipita hapa naomba u like nina upendo wako umejaaa gunia fanya haraka kabla sjabadilisha maamuzi wewe kaka unanitesa sana moyo wang
Nakupenda hata kama una sura mbaya maneno yako tu mm yananikosha mwezio hivi hauoni tu kama nakupenda
Likes zote hizo ninazokupa haujishitukiii wewe mtu gani?
Japo ulininyima kapicha kako kwa kuogopa eti una sura mbaya
Aliyekwambia mm napenda handsome nan mm napenda mtu anayeshuka madini
Hebu acha kunitesa mtoto wa mweziooo wewe kaka jaman
Wacha nilie tu hakuna namna
KabisaAmekusikia Demiss. Bila shaka hutakuwa tena mpweke
Jamani. Pole mkuu. Utapenda tu siku ikifika.Niko na madem wa3,.ni wazur sana kimwonekano,ila wote siwapend kutoka rohon...nipo nao tu kula ujana..niliempenda tuliachana miaka6 iliyopita,na mwingne mwaka m1 uliopita,from there sjapenda tena had leo.
Lets hope for thaaat.Jamani. Pole mkuu. Utapenda tu siku ikifika.
Acha uongo bana we miss. Sema wewe ndo hujaweza kupenda MTU ila wanaokupenda watupo wengi tu.huu ni mwezi wa mapenzi
tunaomba kila mtu atoe ushuhuda wa maisha yake ya mapenzi
je upo kwenye mapenzi na mtu?
kama ni mume/mke je ni kweli unampenda mwezako kimapenzi? na yeye je anakupenda au mpo tu kwa ajili ya watoto?
mimi nipo bilabila sina anaenipenda wapo wanaonitamani tu wanile papuchi wasepe ila sijawahi kuona mtu ananipenda sidhani . na mimi nimeacha kupenda penda .
unanipendea nini?