beutygirl
JF-Expert Member
- Jul 17, 2016
- 534
- 379
Haya bwana Complex.Wala hayana hasara, Hiyo ni faida tupu. Chukua hayo mawazo yatakufaa maishani. heheheee.
Haya bwana Complex.Wala hayana hasara, Hiyo ni faida tupu. Chukua hayo mawazo yatakufaa maishani. heheheee.
Kumbuka tunashea experience mkuu...Ha,haaa....
Siyokweli mkuu,labda km unamke wa mwendokasi,asiyejua majukumu na kwa nn yupo na wewe
Yaani hili ndo likero langu...
Teh....Hahahahaa, Hisia gani.? kama kugegedwa, unakuta unagegedwa mpaka unaomba poo, kuhudumiwa unahudumiwa, Ukiwa na msongo wa mawazo unaliwazwa, ukihitaji ushauri unashauriwa.kipi tena unachokitaka mpaka uchepuke.?, Au ni hilo tuu la kumtafuta mtu wa kumuuliza upo wapi, unafanya nini, upo na nana.?
Teh....
Hisia siyo kugegedwa tu,hata kuulizwa uko wapi ni hisia za labda naibiwa,na hata km ukinijibu nipo njian nakuja mke wangu kwani utapungukiwa nini?tatizo lako unapenda kushindana na ukitaka kijenga heshima kweny ndoa yako acha mawzo hasi,la sivyo mwanamke atakusumbua sana
Wanawake pia hatupendi kupuuzwa,kukuuliza uko wp ni hisia pia,tatizo lenu mnawaza sana mpk mnapitiliza, kuwa mwanamke akikuuliza ulipo anakupangia cha kufanya.Na hii pia ni nature hakuna wa kuibadili.hahahaa, wala sijengi mawazo hasi. wewe kwa kuuliza hivyo ndo unajenga mawazo hasi. Usichojua tuu, ni kwamba wanaume huwa hatupendi tuongozwe na kupangiwa nini cha kufanya. Tunachohitaji ni ushauri at some point. Na hii ni nature, hakuna wa kulibadili.
Wanawake pia hatupendi kupuuzwa,kukuuliza uko wp ni hisia pia,tatizo lenu mnawaza sana mpk mnapitiliza, kuwa mwanamke akikuuliza ulipo anakupangia cha kufanya.Na hii pia ni nature hakuna wa kuibadili.
Daaaah bora hata wewe mkuu umenifariji kidogo, Hawa wengine kila mtu anachoma mwiba yani daaahMIMI NINACHOAMINI KAMA UMEOA BIKRA HUSUMBUKI MKUU KAMA HUYU WANGU NENO UCHUNGU WA NDOA SIJAWAHI UPATA WALA KUUSIKIA
Utalipia mkuu..mimi seat inanitosha[emoji4]sogea tukae wote. mhudumu tupe viroba sita na maji makubwa.
Mbaya zaidi hata waulizaji nao eti huwa hawapendi kuulizwa.... We fikiria mtu unatoka POSTA unaelekea Mwenge, huku Dar.. unafika Redcross... huyo, upo wapi..?? Unafika Salenda upo wapi... Unafika Mbuyuni, uko wapi.... Unafika Moroco upowapi.. Unafika Bamaga upo wapi..... YAANI KERO HADI NJAA INAUMAKumbe tupo wengi boss tusiopenda ii tabia. Nilidhani nipo mwenyewe.
Kwa msimamo wako juu ya ndoa,sikutegemea kama ungeandika haya.........Vipi ushaanza kulegeza kamba?....
Utamu wa ngoma ingia ucheze usingoje kuhadithiwa.Salaam ndugu zangu,
Wahenga walisema "Ndoa ndoano" na wengine wakasema "Ndoa ni fumbo".
Yote hii inaashiria kuna jambo na vijambo ndani yake. Japo yapo mazuri mengi ila napenda hapa tuyamuulike yale machungu yanayopelekea wengine kuwa vichaa, kuikimbia ndoa au hata kutoa uhai wao.
Binafsi nilighafirika nilipogundua shemeji/wifi yenu ana hawara na kila akipost picha facebook anatu-tag wote na jamaa anaelewa kila kitu japo mi sielewi. Mpaka sasa simwamini tena.
Wakwe ni shida saaana siku hiziHawa wakwe hawa....
Wanaingilia ndoa za watoto wakati yao haiingiliwi na mtu.
Sijao ila na mchuchu wangu huwa namtukana.Mbaya zaidi hata waulizaji nao eti huwa hawapendi kuulizwa.... We fikiria mtu unatoka POSTA unaelekea Mwenge, huku Dar.. unafika Redcross... huyo, upo wapi..?? Unafika Salenda upo wapi... Unafika Mbuyuni, uko wapi.... Unafika Moroco upowapi.. Unafika Bamaga upo wapi..... YAANI KERO HADI NJAA INAUMA
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] pole sana kaka daah!!Salaam ndugu zangu,
Wahenga walisema "Ndoa ndoano" na wengine wakasema "Ndoa ni fumbo".
Yote hii inaashiria kuna jambo na vijambo ndani yake. Japo yapo mazuri mengi ila napenda hapa tuyamuulike yale machungu yanayopelekea wengine kuwa vichaa, kuikimbia ndoa au hata kutoa uhai wao.
Binafsi nilighafirika nilipogundua shemeji/wifi yenu ana hawara na kila akipost picha facebook anatu-tag wote na jamaa anaelewa kila kitu japo mi sielewi. Mpaka sasa simwamini tena.
MTU mzima kua muongo ni aibuHizi mada huwa zinatutia woga ambao hatupo kwenye hiyo sekta.Unajikuta unaogopa