Tuonjeshane kidogo machungu ya ndoa kwa waliofunga pingu

Tuonjeshane kidogo machungu ya ndoa kwa waliofunga pingu

ww ngja apatkane mwngine wa kuulizwa kama utaskia unaulizwa tna mpka utajishtukia. hahahha utasema kunani tna mwnzangu!?

Ukichepuka lazima nitajua tuu, Halafu hapo ndo utaona mtiti wake. hahahaaahaa
 
Believe me or not wanaume wanachukia hili swali kiasi kwamba utakapolihamishia kwingine Kama usemavyo lazima uliboreshe utaliweka kiutamu utamu " bby uko wapi saa hizi nimekumiss" ila Sio kavu kavu Kama unazotuma Kwa mumeo " uko wapi? Uko na nani? Unarudi saa ngapi? [emoji37][emoji37][emoji37][emoji37]

Mimi Ni mwanamke ila nayachukia hayo maswali na akitokea mshamba mshamba wa kuniuliza ovyo bila kunipa pumzi huwa napiga kibuti fastaaaa kero ya nini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
to be honest me ni mwanamke lkn nachukizwa pia sana na hayo maswali tena niliwahi kuwa na kichefchef uyo akipiga simu hata akisikia wadada wanacheka pembeni yangu atauliza wanacheka nini😡😡 unaeza ulie huku unabamiza simu unajua
 
to be honest me ni mwanamke lkn nachukizwa pia sana na hayo maswali tena niliwahi kuwa na kichefchef uyo akipiga simu hata akisikia wadada wanacheka pembeni yangu atauliza wanacheka nini😡😡 unaeza ulie huku unabamiza simu unajua


Afadhali na wewe unisaidie. Sijui inakuwaga ni wivu au waonekane wanakupenda na kukujali sana, ama ni nini.?
 
Salaam ndugu zangu,

Wahenga walisema "Ndoa ndoano" na wengine wakasema "Ndoa ni fumbo".

Yote hii inaashiria kuna jambo na vijambo ndani yake. Japo yapo mazuri mengi ila napenda hapa tuyamuulike yale machungu yanayopelekea wengine kuwa vichaa, kuikimbia ndoa au hata kutoa uhai wao.

Binafsi nilighafirika nilipogundua shemeji/wifi yenu ana hawara na kila akipost picha facebook anatu-tag wote na jamaa anaelewa kila kitu japo mi sielewi. Mpaka sasa simwamini tena.
Embu weka na chungu ulilolifanya kwa mkeo
 
Halafu na wewe acha uchochezi, Unamchochea mwenzako achepuke.

Heheheeehee.
Kuchepuka panasababishwaga na nyie wanaume
Mkishaoa mnaona mmemaliza kila kitu,na ndo hapo mwanamke anatafuta atakayejali hisia zake
 
Kuchepuka panasababishwaga na nyie wanaume
Mkishaoa mnaona mmemaliza kila kitu,na ndo hapo mwanamke anatafuta atakayejali hisia zake
Siyo kweli... kichepuka kunaweza sababishwa na yeyote kati yenu.. baadhi ya sababu..
1. Usinishike hapa,
2. Mi hivi sijazowea
3. Baba mchungaji kasema hii dhambi
4. Nimechoka za kila siku
 
Salaam ndugu zangu,

Wahenga walisema "Ndoa ndoano" na wengine wakasema "Ndoa ni fumbo".

Yote hii inaashiria kuna jambo na vijambo ndani yake. Japo yapo mazuri mengi ila napenda hapa tuyamuulike yale machungu yanayopelekea wengine kuwa vichaa, kuikimbia ndoa au hata kutoa uhai wao.

Binafsi nilighafirika nilipogundua shemeji/wifi yenu ana hawara na kila akipost picha facebook anatu-tag wote na jamaa anaelewa kila kitu japo mi sielewi. Mpaka sasa simwamini tena.
Mkuu ulikuja kugundua vipi kuwa jamaa ndo mwizi wako na baada ya hapo nini kilifuata...Nahisi kuna jambo la kujifunza katika majibu yako utakayoyatoa..
 
Kuchepuka panasababishwaga na nyie wanaume
Mkishaoa mnaona mmemaliza kila kitu,na ndo hapo mwanamke anatafuta atakayejali hisia zake

Hahahahaa, Hisia gani.? kama kugegedwa, unakuta unagegedwa mpaka unaomba poo, kuhudumiwa unahudumiwa, Ukiwa na msongo wa mawazo unaliwazwa, ukihitaji ushauri unashauriwa.kipi tena unachokitaka mpaka uchepuke.?, Au ni hilo tuu la kumtafuta mtu wa kumuuliza upo wapi, unafanya nini, upo na nana.?
 
Ndoa inakuwa tamu...kama nyote mmeingia kwaajili ya kujenga na kuendeleza ambacho tayar mmeanzisha. Kugombana kupo...lakini mwisho wa siku mnapatana in a good way. Sio vitu vidogo ushapiga nyumbani...Hamtadumu wala.
Wanandoa pia tunashauriwa kuwa wabunifu ili tusichokane...maana kama wanaume ni wepesi sana wa kukinai.
Inauma zaidi pale mwenzako anapokuwa sio mwaminifu na anakulazimisha umwamini au uvumilie ushenzi wake. Wapo watu wanaoingia kwenye ndoa ili waonekane na wao wameoa lkn ndani ya mioyo yao hawako tayar hata kuongozana na wenza wao in public places.
Wengine akitoka tuu home pete inafichwa mfukoni asijulikane kao. Hawezi hata siku moja kutoka na familia yake, maana itamfanya aonekane mzee na vimada watamkataa. So insane.
 
Siyo kweli... kichepuka kunaweza sababishwa na yeyote kati yenu.. baadhi ya sababu..
1. Usinishike hapa,
2. Mi hivi sijazowea
3. Baba mchungaji kasema hii dhambi
4. Nimechoka za kila siku
Ha,haaa....
Siyokweli mkuu,labda km unamke wa mwendokasi,asiyejua majukumu na kwa nn yupo na wewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom