Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,380
- 56,094
kula[emoji109] [emoji109] [emoji110] [emoji110] [emoji116] [emoji116] [emoji116]Kwa msimamo wako juu ya ndoa,sikutegemea kama ungeandika haya.........Vipi ushaanza kulegeza kamba?....
Leo umenikoshaaaWatu wanadumu kwenye ndoa si kwa kuwa ndoa hazina changamoto bali ni kutokana na umahiri wao na uwezo wa wanandoa kupambana na changamoto hizo........
Ingia katika ndoa ukiwa na hisia chanya juu ya ndoa...hii itakupa mbinu na uwezo wa kupambana na changamoto zilizomo kwenye ndoa.....ukiingia kwenye ndoa huku ukiwa na maoni hasi na hisia hasi.....itakupunguzia uwezo wa kupambana na hizo changamoto na kujiona kama vile upo kwenye gereza la mateso makali huku wenzio upande wa pili wakifurahia maisha ya ndoa.....kama wapo paradiso.....