Tuonjeshane kidogo machungu ya ndoa kwa waliofunga pingu

Tuonjeshane kidogo machungu ya ndoa kwa waliofunga pingu

Huyo mwizi nlimkamatia whatsApp baada ya kuitia simu ya shemejio nguvuni.

Nlichat na kamaa vizuri akijua anachat na wife na akafunguka vitu vyote alivyomic kwa wife makiss, kushikanashikana nk....

Kwakua jamaa alikuwa kaweka profile picture yake na kaseviwa jina lake ilikua rahisi kufahamu ndo yeye nnayemuona fb akijitahidi kucomment ktk post za wife.

Comments zake zilikua na utata mwingi kama "miss you my (jina la wife)" nikadhani labda ndo uzungu wa siku hizi na kila picha anamtag.

Kukamata mchepuko inahitaji ujue kuunganisha matukio mpaka upate picha nzima.
Maamuzi gani ulichukua baada ya hapo
 
Hahahaaa, usiniambie na wewe ni mmoja wapo wa waulizaji. Yaani binafsi nisipoulizwa ninakuwa comfortable sana.

sasa mtu unakuta anakupigia simu anaanza maswali yake, upo wapi, unamwambia, upo na nani, unamwambia (bahati nzuri naye huyo mtu anamjua), baada ya hapo unasikia nipe simu niongee naye nihakikishe.
Kuulizwa kweli raha, na uzuri m-babes anakuwa anajua ratiba zangu zote. Ila mambo nakwambia nipo kwenye bajaji then unaniambia nimwambie dereva apige honi, Kwa kweli huo upuuzi sifanyi. Kuna watu kila saa anakupigia simu umpe mtu uliyenaye ahakikishe kama ni kweli, yani nitamzimia na simu kabisa, afe vizuri kwa presha. Wivu gani huo mfyuuu, sometimes unakuwa na watu wa heshima anakomaa tu nipe niongee naye eishhhh
 
Kuulizwa kweli raha, na uzuri m-babes anakuwa anajua ratiba zangu zote. Ila mambo nakwambia nipo kwenye bajaji then unaniambia nimwambie dereva apige honi, Kwa kweli huo upuuzi sifanyi. Kuna watu kila saa anakupigia simu umpe mtu uliyenaye ahakikishe kama ni kweli, yani nitamzimia na simu kabisa, afe vizuri kwa presha. Wivu gani huo mfyuuu, sometimes unakuwa na watu wa heshima anakomaa tu nipe niongee naye eishhhh

Hahahaa, ndo wanawake wengi mpo hivyo. Na pia kuna wanaume hawajabaki nyuma katika hili.
 
Ndoa ni hekima,busara,uvumilivu na mpaenzi ya kweli kwa kila mmoja na kila mmoja awe mkweli kwa mwenzio
Utaenjoy sana aisee!!

Ila vitu kukosekana kwa kimoja hushawishi vingine vitokee ndo hapo ndoa utapoiona klorokwini, na ndo ukiona unalia kila Sikh kwenye ndoa jiulize 'umejifunga Bomu la machozi au pilipili imeingia machoni?'
 
Maamuzi gani ulichukua baada ya hapo
Nlimwambia jamaa kama anamhitaji wife aende kwao akajieleze mi ntamkabidhi kiroho safi kabisa maana sina muda wa kugombea mwanamke ila nnachotaka ni kumkabidhi kwa kufuata utaratibu.

Wife nae nikamchana kwamba asijione kama yeye ni keki, kama anamhitaji jamaa aseme nikamkabidhi na mimi nitang'oa chombo kikali kuliko hata yeye. Akaniuliza kwani yeye mbaya, nikamuuliza anadhani ana uzuri gani...
 
Nlimwambia jamaa kama anamhitahi wife aende kwao akajieleze mi ntamkabidhi kiroho safi kabisa maana sina muda wa kugombea mwanamke ila nnachotaka ni kumkabidhi kwa kufuata utaratibu.

Wife nae nikamchana kwamba asijione kama yeye ni keki, kama anamhitaji jamaa aseme nikamkabidhi na mimi nitang'oa chombo kikali kuliko hata yeye. Akaniuliza kwani yeye mbaya, nikamuuliza anadhani ana uzuri gani...
we jamaaa una akili sana aisee!
dash!na hongera sana kakaa maana nahisi ulimsamehe mkeo..ni wanaume wachache sana wenye uwezo wa kusamehe wake zao haswa kwenye uzinzi...dahhh!!![emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Uzuri wa siku hizi hata wakichepuka wanaingia pre agreements, wanaambiana hapa kazi tuu, hakuna kambi.

Heheheehe
Chepuka nisijue tuu!!nkijua nampigia simu mdadaa!!nampa facts
 
we jamaaa una akili sana aisee!
dash!na hongera sana kakaa maana nahisi ulimsamehe mkeo..ni wanaume wachache sana wenye uwezo wa kusamehe wake zao haswa kwenye uzinzi...dahhh!!![emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
Nimesamehe ila ikitokea kwa mara nyingine naenda kumkabidhi kwa huyo hawara wake hata kama ana mke.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom