Tuonjeshane kidogo machungu ya ndoa kwa waliofunga pingu

Tuonjeshane kidogo machungu ya ndoa kwa waliofunga pingu

Ndoa ni tamu kama utachagua mwenza sahihi, pili ukumbuke hamkuzaliwa na kulelewa nyumba moja kwahiyo kila mmoja ana tabia zake, ni vyema kusomana tabia ili kuepuka mikwaruzano, KIKUBWA UPENDO, Ukiwa na upendo wa kweli kwa nyote wawili basi ni rahisi kuvumiliana, na kingine ni USIKIVU ukikosea uwe tayari kuambiwa na kusikiza na kuomba msamaha na wewe unapokosewa sema na hata kama unataka kuombwa msamaha na mume hana tabia ya kuomba msamaha mwambie mie napenda ukinikosea uniombe msamaha, kuna vitabia vidogo dogo vinakera ila ni vyema ukawa unasema kuliko kulimbikiza moyoni kwahiyo KUAMBIANA NA KUSIKIZANA NI VYEMA,

Kila mtu kujua nafasi yake na wajibu wake, yani uvumilivu uwe kwenye mambo madogo madogo na sio unamletea mwenzako mwanamke ndani halafu unasema ndoa UVUMILIVU nope. kwa uchache HII LABDA ITASAIDIA KWA WALE AMBAO HAWAJAINGIA KWENYE NDOA,

mh umeongea mama mumeo anafaidi kweli kweli ningekuwa single ningekuja kizuri haupo single nawe
 
Ndg yangu unapogundua mwenzako anakusaliti hata hisia za kulala nae zinaondoka kabisa maana anakua kama vile anawashindanisha kitandani na likitu linalovuliwa chupi na mtu mwingine unakuaje na hisia nalo?
Hahahaha mh m najua hapo wew una hasira ndio maana unasema hivyo ila hasir zikiisha utaweza elewa somo
 
Hahaha umeua...

Nahisi alikitafuta kioo kilipo akajihakiki...
mkorogo-1.jpg
 
There is no OX free Poo ... Whenever there is an OX there is a POO.
 
Huyo mwizi nlimkamatia whatsApp baada ya kuitia simu ya shemejio nguvuni.

Nlichat na kamaa vizuri akijua anachat na wife na akafunguka vitu vyote alivyomic kwa wife makiss, kushikanashikana nk....

Kwakua jamaa alikuwa kaweka profile picture yake na kaseviwa jina lake ilikua rahisi kufahamu ndo yeye nnayemuona fb akijitahidi kucomment ktk post za wife.

Comments zake zilikua na utata mwingi kama "miss you my (jina la wife)" nikadhani labda ndo uzungu wa siku hizi na kila picha anamtag.

Kukamata mchepuko inahitaji ujue kuunganisha matukio mpaka upate picha nzima.
Duh...Pole sana na hongera kwa kuweza kumnasa mwizi wako...Then baada ya hapo nini kilifuata kati yako na wife...Na mnaendelea kuishi wote mpaka sasa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom