Complex
JF-Expert Member
- Mar 20, 2013
- 4,121
- 4,788
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] complex umeniua mbavu zangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]tandika blocks za nguvu kila kona hakuna sms calls
wala social network kupenya and U'll be free
Anhaaa, inaonekana na wewe ndo zako hizi.
Maana mtu unakuta kila baada ya lisaa limoja kapiga simu. Upo wapi, upo na nani, unafanya nini. Anavyokomalia basi, ukimwambia nipo kwenye usafiri anakwambia mwambje dereva apige honi nisikie kama kweli upo kwenye usafiri.
Arrrhgghh.