joshydama
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 4,623
- 5,052
Hakika feittyHizi mada huwa zinatutia woga ambao hatupo kwenye hiyo sekta.Unajikuta unaogopa
Hakika feittyHizi mada huwa zinatutia woga ambao hatupo kwenye hiyo sekta.Unajikuta unaogopa
Huu ni mtego kwa tusiooa na wasio olewa.Naona dalili za vijana kutokuoa zikizidi kutokana na experience tutakayoshuhudia.Salaam ndugu zangu.
Wahenga walisema "Ndoa ndoano" na wengine wakasema "Ndoa ni fumbo".
Yote hii inaashiria kuna jambo na vijambo ndani yake. Japo yapo mazuri mengi ila napenda hapa tuyamuulike yale machungu yanayopelekea wengine kuwa vichaa, kuikimbia ndoa au hata kutoa uhai wao.
Binafsi nilighafirika nilipogundua shemeji/wifi yenu ana hawara na kila akipost picha facebook anatu-tag wote na jamaa anaelewa kila kitu japo mi sielewi. Mpaka sasa simwamini tena.
Ondoa shaka mkuu.Huu ni mtego kwa tusiooa na wasio olewa.Naona dalili za vijana kutokuoa zikizidi kutokana na experience tutakayoshuhudia.
Na wao wanaingiliwa na wakwe zao pia.Hawa wakwe hawa....
Wanaingilia ndoa za watoto wakati yao haiingiliwi na mtu.
Hakika mkuu.Hizi mada huwa zinatutia woga ambao hatupo kwenye hiyo sekta.Unajikuta unaogopa
Kuacha mke ni mtihani kama ilivyo kuacha pombe au sigara.Kila mtu ana mitihani yake anayopitia kwenye ndoa ni uvumilivu tu ndo kikubwa bola ya waislamu kuna talaka tofaut na wakristo kidogo kukaa vikao na kupatanishwa vumilianeni ndoa ni uvumilivu sisi wazazi wenu tumefikia umri huu tumepitia yote kinachotakiwa mvumiliane unaetaka kuingia kwenye ndoa ingia tu wala usiogope
Majibu yatatofautiana kwa kila upande.Mtihani uliopo hapo ni je:
Usamehe?
Ulipize?
Umuache?
Ukiwaza hayo akili inazidi kupata moto.
Kwa changamoto hizo ni lazima mwanaume uzeeke mapema.Majibu yatatofautiana kwa kila upande.
Mf, mi mwanamke nikisema nimsamehe, itatoka mdomoni lakin moyon hapana,
Nikisema nilipize inategemea na yeye je ataacha hyo tabia baada ya kumgundua toka ile siku ya kwanza?
Kumuacha inategemea pia na familia uliyonayo,km ninaweza kuimudu peke yangu nasepa km siwez navunga then napanga ya baadae
Duuh! Huo nao ujinga. Mume nae alete ndugu zake! Hao ndugu wa mke wataondoka tuKuna shemeji yetu alihamisha ndugu wazazi wake wote anapoishi na mumewe sasa rafiki yetu hata taarifa ya habari anaenda kuangalizia BAR hana uhuru.
Yaani kuna hili la kupigiwa simu kila dakika, sijui upo wapi, upo na nani unafanya nini. Unaweza tukana mtu
Ha,haaaaa.....Kwa changamoto hizo ni lazima mwanaume uzeeke mapema.