Wanaomuita wanajua kaishashinda ndio maana wanatafuta sababu tu. IJP anasema afike polisi Kilimanjaro. Barua afike polisi kaenda maalumu hiyo yote ni mashinikizo.
Hakuwa na flyover, sgr sticker, vituo vya afya, madaraja,wala kushinda corona hata siku moja hakupiga goti kuomba kura. Sasa hivi vyote anavyo na kavinadi miaka mitano kwenye vyombo vya habari lakini kaona havimsaidii kaamua kupiga goti.
Mwenzie anasubiriwa mpaka giza na umati mkubwa wa watu. Pale hakuna msanii wa kutumbuiza zaidi ya mziki wa DJ. Pale watu hawazuiliwi kutoka kama kule ukiingia inakuwa mateka. Mgombea akianza hutuba foleni ya kutoka inaongezeka kwani wanajua ndio mwisho wa burudani.
Huku kwa Lisu kusudio la wananchi ni Lisu mwenyewe akiongelea kuhusu ustawi wao haki zao na maendeleo yao.
Mie ni mlemavu wa kufungulia TBC1 Lisu hana coverage kubwa lakini cha ajabu wananchi wanajaa kwenye mikutano yake.
Hakuwa na flyover, sgr sticker, vituo vya afya, madaraja,wala kushinda corona hata siku moja hakupiga goti kuomba kura. Sasa hivi vyote anavyo na kavinadi miaka mitano kwenye vyombo vya habari lakini kaona havimsaidii kaamua kupiga goti.
Mwenzie anasubiriwa mpaka giza na umati mkubwa wa watu. Pale hakuna msanii wa kutumbuiza zaidi ya mziki wa DJ. Pale watu hawazuiliwi kutoka kama kule ukiingia inakuwa mateka. Mgombea akianza hutuba foleni ya kutoka inaongezeka kwani wanajua ndio mwisho wa burudani.
Huku kwa Lisu kusudio la wananchi ni Lisu mwenyewe akiongelea kuhusu ustawi wao haki zao na maendeleo yao.
Mie ni mlemavu wa kufungulia TBC1 Lisu hana coverage kubwa lakini cha ajabu wananchi wanajaa kwenye mikutano yake.