residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 7,020
- 9,609
Unamwambia huyo mfuta vumbi wa jengo la Ushirika pale Lumumba? Anajulia wapi!!Tuwekee hapa hiyo sheria
Unamwambia huyo mfuta vumbi wa jengo la Ushirika pale Lumumba? Anajulia wapi!!Tuwekee hapa hiyo sheria
Product ya UD,mwanafunzi wa MwakyembeNothing more nothing less..
Kweli Lissu anawapeleka mchaka mchaka
Hayuko juu ya sheria, na ndio maana ametaka na polisi nao wafuate sheria. Unataka kutushawishi kuwa tamko lolote la polisi hata ukiambiwa leo hakuna kulala ni sheria lazima utii?Lissu ndiye yuko juu ya sheria !!! Kiasi muda huu uko huru kutumia lugha ya "faragha" hadharini!? Mna taabu ninyi...Kha!!
Utapata tabu sana mwaka huu kwani matusi yote yaliyojaa ubongoni mwako utajikuta huna pa kuyatumia tena.Upumbavu to the highest degree
Utapata tabu sana mwaka huu kwani matusi yote yaliyojaa ubongoni mwako utajikuta huna pa kuyatumia tena.Nyie mnaoandika maandishi mengi,mnaandikaga ujinga mwingi sana! kama ww mfano
Kama hujui ni kuwa kisheria hiyo inaitwa defamation, na lissu anajua fika kuwa anavunja sheria ila kwa sababu haheshimu sheria zetu za Tanzania anajifanyia atakavyo. Sijui kama akipata madaraka atazilindaje kama haziheshimu akiwa mgombea.Unazungumzia matamshi ya kumwambia Magufuli mwizi? Kwani ni uongo?
Tatizo siyo IGP, tatizo ni Lissu kuamini anajua shréria kuliko yeyote nchi hii. Hiyo sheria yake sijui kama anakumbuka hata majukumu ya polisi ni yapi! Ni mwepesi wa kutunga hata sheria isiyokuwepo. Angeweza kuwa rais iko siku atauliza sheria inayomlazimisha mtu kutumia choo.
Upumbavu si tusi bali ni hali ya akili kupumbaa, ni mjinga asiyejijua kuwa ni mjinga maana akijua kuwa mjinga atafuta ujinga. Mpumbavu ni mjinga anayejiona anajua kwa hiyo hawezi kufuta ujinga wake so kapumbaa.Utapata tabu sana mwaka huu kwani matusi yote yaliyojaa ubongoni mwako utajikuta huna pa kuyatumia tena.
huyu urais atausikia kwenye redio tu
Kumpa tenda mume mwenza kujenga uwanja mkubwa wa ndege kijijini kwake ni wizi.Kama hujui ni kuwa kisheria hiyo inaitwa defamation, na lissu anajua fika kuwa anavunja sheria ila kwa sababu haheshimu sheria zetu za Tanzania anajifanyia atakavyo. Sijui kama akipata madaraka atazilindaje kama haziheshimu akiwa mgombea.
Huku ndio kuanguka kwa CCM.
MZIGO MZITO HAUCHUKULIKI
Magufuli haheshimu katiba ya nchi sembuse sheria!Kama hujui ni kuwa kisheria hiyo inaitwa defamation, na lissu anajua fika kuwa anavunja sheria ila kwa sababu haheshimu sheria zetu za Tanzania anajifanyia atakavyo. Sijui kama akipata madaraka atazilindaje kama haziheshimu akiwa mgombea.
Na akiwa mkuu wa nchi atawezaje kuongoza nchi ambayo watu watakuwa huru kuvunja sheria?Hapo anakosea sana, Lissu unafanya makosa ya kijinga, unavunja sheria kwa makusudi ili ufanye ubishi, unafundisha watu kutoheshimu sheria.
Wewe umeshaamua kuwa lazima uwashe moto nchini na uvunje amani. Haitakubalika, lazima utii amri na sheria, unapoonewa tutakupigania, lakini ukionea tutaka sheria ichukue mkondo wake.
Nyie ndio tunatarajia muwe viongozi wetu baada ya mgombea wetu kushinda!Haki yako hiyo View attachment 1587722
Lissu anatafuta sababu ya kushindwa, kisheria polisi wanaweza kukuita hata kwa simu, maelezo utayakuta polisi na utapewa haki ya kusikilizwa ukiwa na mwanasheria wako au mtu yoyote.
Hii ni kwenye ipi?kwanini polisi wapewe mamlaka ya kumuita mtu yoyote yule?bila kumweleza kosa lake?Lissu anatafuta sababu ya kushindwa, kisheria polisi wanaweza kukuita hata kwa simu, maelezo utayakuta polisi na utapewa haki ya kusikilizwa ukiwa na mwanasheria wako au mtu yoyote.
Lissu anatafuta sababu ya kushindwa, kisheria polisi wanaweza kukuita hata kwa simu, maelezo utayakuta polisi na utapewa haki ya kusikilizwa ukiwa na mwanasheria wako au mtu yoyote