Tundu Lissu: Tukutane CNN na Aljazeera

Tundu Lissu: Tukutane CNN na Aljazeera

Tatizo hao ni WANAFIKI na DHAIFU na ndiyo matatizo ya Watanzania wengi kutokuwa wakweli mbele ya muhusika lakini wanalalamika pembeni.

Nchi hii ina matatizo makubwa sana na chanzo ni huyo dikteta kudhani yeye ni Mungu mtu anaweza kufanya vyovyoye atakavyo hata si kwa maslahi ya nchi na hastahili kukosolewa.

Kichaa hana sifa ya kuongoza chochote kile mahali popote pale.

Let me tell you one thing which makes you loose.

Leo viongozi wa dini wote walikuwa Ikulu wanampigia chapuo Rais kuwa bado miaka 7.

Nimegundua kweli ninyi mnaolalamikia kuminywa kwa demokrasia mnafanya utukutu wa kisiasa ili kumtoa relini Rais. Amewastukia na kaeleza vzr kwa ufasaha dunia nzima imeona viongozi wa dini wakiitikia kwa vichwa.

Tundu nae alishindwa kutoa evidence kwa Sackur Sasa atakae watetea nyie ni nani?.

La msingi tutakuwa na kampeni za serikali za mitaa soon na next year uchaguzi mkuu sioni wapi mtatokea sbb wazazi wetu kiroho wote wapo na Rais wakimuita majina mbalimbali ya Biblia na Koran.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mhe. Tundu Antipas Mugwai Lissu amesema Move ya pili itakua ni CNN na Aljazira kwa Maongezi zaidi maana amepata mwaliko kwenye vituo vya luninga zaidi ya 22 mpaka sasa hivi.

Kituo kinachofuata kufanya maongezi nacho ni CNN na Baadae ni Aljazira

Tutaendelea kuwahabarisha tarehe na mda na hivyo vituo vingine

Mwanahabari Huru
Lissu The Greatest katika ubora wake .
 
Mhe. Tundu Antipas Mugwai Lissu amesema Move ya pili itakua ni CNN na Aljazira kwa Maongezi zaidi maana amepata mwaliko kwenye vituo vya luninga zaidi ya 22 mpaka sasa hivi.

Kituo kinachofuata kufanya maongezi nacho ni CNN na Baadae ni Aljazira

Tutaendelea kuwahabarisha tarehe na mda na hivyo vituo vingine

Mwanahabari Huru

----------------
View attachment 1002706
Hivi hata hili CCM watabisha na kuvuta midomo mbele kama chuchunge!Gotcha ya,CCM!😂😂😂😂😂
 
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
nimestuka kuona hiyo ID kisha nikaiangalia tena kwa makini
watu wanapenda kuiga balaaaa eti kabadirisha kidogo tu
 
Back
Top Bottom