uvugizi
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,351
- 1,100
Kwa sisi wazee wa imani . ukisoma Yoshua 23: 12- 13. wana wa israel waliambiwa na joshua . wasirudi nyuma ,wasonge mbele kuwaondoa wale wana wa kanaani wote . wakiwaacha itakuwa mtego na kitanzi kwao .
Hoja yangu ni kuwa kwa kuwa wao waliamua kummaliza lissu na ikashindikana . sasa hii imekuwa Tanzi kwao . Huu ulikuwa ni uovu , kumuondoa mwenzako kwa utashi wako na wala si Mungu alivyotaka . Nina imani Kuna jambo kubwa lissu anaenda kufanya .Baada ya kufufuka huku . Iwe ni kukamata uraisi, kuukosa , iwe ni kupiga kampeni . all in all kuna jambo kwa utukufu wa Bwana .
Siku zote Mungu huwa anawatumia watu katika makusudi yake . Wale waliopinda pinda , wale ambao kwa macho ya kibinadamu unaona si perfect . Hata kiongozi wetu mkuu , alikuwa ni mtu aliyeanza majukumu ya siasa kutoka chini sana . kwanza niliwahi kusikia ushuhuda wake , kwa mara ya kwanza alikuwa anapiga kampeni kwa baiskeli . huku akihisi kama anabahatisha ,lakini leo katoboza . Ana good determination .
Nikisoma kitabu cha waamuzi katika biblia . kinaniambia mtu akitoka katika agano na Mungu , madhara ni lazima . kila siku waamaleki na wamoabi watakufukuza tu . swala ni kutubu kwa yale tuliyokosea , hasa damu zilizo mwagika . Kuna familia zina lia kwa wapendwa wao kupotea na kufa . baada ya hapo tusonge mbele .
Tundu Lissu ni mtego na tanzi kwa utawala huu . TUBUNI !
Hoja yangu ni kuwa kwa kuwa wao waliamua kummaliza lissu na ikashindikana . sasa hii imekuwa Tanzi kwao . Huu ulikuwa ni uovu , kumuondoa mwenzako kwa utashi wako na wala si Mungu alivyotaka . Nina imani Kuna jambo kubwa lissu anaenda kufanya .Baada ya kufufuka huku . Iwe ni kukamata uraisi, kuukosa , iwe ni kupiga kampeni . all in all kuna jambo kwa utukufu wa Bwana .
Siku zote Mungu huwa anawatumia watu katika makusudi yake . Wale waliopinda pinda , wale ambao kwa macho ya kibinadamu unaona si perfect . Hata kiongozi wetu mkuu , alikuwa ni mtu aliyeanza majukumu ya siasa kutoka chini sana . kwanza niliwahi kusikia ushuhuda wake , kwa mara ya kwanza alikuwa anapiga kampeni kwa baiskeli . huku akihisi kama anabahatisha ,lakini leo katoboza . Ana good determination .
Nikisoma kitabu cha waamuzi katika biblia . kinaniambia mtu akitoka katika agano na Mungu , madhara ni lazima . kila siku waamaleki na wamoabi watakufukuza tu . swala ni kutubu kwa yale tuliyokosea , hasa damu zilizo mwagika . Kuna familia zina lia kwa wapendwa wao kupotea na kufa . baada ya hapo tusonge mbele .
Tundu Lissu ni mtego na tanzi kwa utawala huu . TUBUNI !