Tayari amemteka kijana mmoja huko Mwanza"kipofu haachi gongo lake", kama ni mhalifu ataufanya tena tu.
Hakika MAKONDA kakushika pabaya sanaAmeongeza kwa kusema " kwa nchi zenye kufuatia utawala wa sheria Makonda alipaswa kuwa jela" .
View attachment 2820200
Ama kweli, aheri unyimwe vyote, upate akili. Oneni huyu Etwege asivyojitambua wala hata kuelewa kinachojadiliwa!!Lema na Lisu wake zao wamewaachia wazungu wakifaidi utamu, alafu wamekuja huku kutupigia kelele za kijinga kabisa. Wasaliti wakubwa nyie
Uvccm wanachojua ni matusi tuAma kweli, aheri unyimwe vyote, upate akili. Oneni huyu Etwege asivyojitambua wala hata kuelewa kinachojadiliwa!!
Nafikiri ccm imemleta Makonda afanue uhalifu kwenue chaguzi zijaz9."kipofu haachi gongo lake", kama ni mhalifu ataufanya tena tu.
ana jeuri gani tena ya kuteka?Tayari amemteka kijana mmoja huko Mwanza
Unapenda uzushi sana dogoTayari amemteka kijana mmoja huko Mwanza
Hivi Gil unapata muda kweli wa kumpa unyumba mume wakoUnapenda uzushi sana dogo
Ilifaa uolewe mke wa 3 wewe
Wewe watu wanakufokoa kwa beer tuLissu ni bwege tu
Mtu anarandaranda ulaya kusaka mabwana nae ni wa kumsikiliza!
Samia amejishusha hadhi kwa mahaba yake kwa Makonda mhalifu. Niambie rafiki yako nitakuambia ulivyoAmeongeza kwa kusema " kwa nchi zenye kufuatia utawala wa sheria Makonda alipaswa kuwa jela" .
View attachment 2820200
Ukimuona anakuja Africa ujue watoto wanadaiwa ada za shule. Hivyo huja kuanzisha mikutano na operation uchwara, alaf kila mkutano au operation lazima lipitishwa bakuli la kuchangia chama.Lissu ni bwege tu
Mtu anarandaranda ulaya kusaka mabwana nae ni wa kumsikiliza!
Kimenuka !Ameongeza kwa kusema " kwa nchi zenye kufuatia utawala wa sheria Makonda alipaswa kuwa jela" .
View attachment 2820200