The Wakanda Panth3r
JF-Expert Member
- May 22, 2018
- 260
- 204
Na maisha yao yapoje? Au unatafsiri huo mshahara kwa maisha ya Tz?Unajua malipo yao yakoje huko?kipato cha mbunge wetu hapa TZ,Ulaya si lolote mkuu.
Ulaya kama brain ya mtu iko vizuri,kunalipa sana,lkn kama ni Lusinde au Milinga type hapafai.
Hapa kwetu vyeo ni vikubwa lkn kipato kidogo,tofauti kabisa na nchi za ulaya.
Utakuta mtu ni mbeba mabox tu huko ulaya lkn kipato chake hakilingani hata kidogo
na Afisa wa ngazi ya kati hapa kwetu.
Pili,sarafu yao iko juu sana tofauti na yetu....12mill etc za mbunge wa TZ ni pesa za
madafu kwa wenzetu
Nini maana ya kuchafua taswira ya nchi? Kati ya TL na waliojaribu kumtoa uhai TL ni yupi anachafua taswira ya nchi?!, Je, Tundu lissu alitoka tu Tanzania from nowhere akaenda kuongelea mabaya aliyofanyiwa?? Ni nini kilimfanya lissu mpaka aende kulalamika?!
Naomba majibu mafupi mkuu kama nilivyouliza!
Hii ni taarifaHuu ujinga peleka ujingani kweni.
Kama mjinga ni mjinga tu
yani kutoka kuwa mbunge mpaka kuwa advocacy officer?pathetic
Kama nyie ni wazee ni bure kabisa na hamna utu kabisaHawa vijana hawajui watendalo
Jipe muda,hayo ni maneno ya vijiweni ya misukule wa Lumumba kesi ndio kwanza bado mbichi inaenda mahakama ya rufaa baada ya hapo naweza sema utakavyo.Kwahiyo kama ameweza kutuma barua ya maombi ya kazi pamoja na CV, alishindwa kweli kumtaarifu Speaker kwa maandishi au SMS? Kumbe Mh. Ndungai yuko sahihi
HayaJipe muda,hayo ni maneno ya vijiweni ya misukule wa Lumumba kesi ndio kwanza bado mbichi inaenda mahakama ya rufaa baada ya hapo naweza sema utakavyo.
Cha kushangaza maisha ya Mashaka Unaishi wewe badala ya jiwe...
Very candangalas
Dah kutoka kuwa mbunge,mnadhimu,mkurugenzi wa sheria chama kikuu cha upinzani,Rais wa wanasheria hadi Advocacy officer!
Bora akachukue phd tu kama Nshalla,itamsaidia
Miafrika inaroho mbaya sana,.Kapigwa lisasi imefurahi, kavuliwa ubunge imefurahi zaidi. Leo kusikia anaweza pata dili imechefuka rohoni chefuuuu!Hiyo ndiyo sababu tuliyopewa kuwa anangojea daktari wake wa kazi ammpe ruhusu.
Allikuwa anangoja hili tuu, hakuna jingine, na litafuatiwa na kuomba ukimbizi wa kisiasa.
Ninachojua, Heri Tarishi wa ulaya kuliko meneja wa kiwanda cha pipi darisalamaKutoka high level advocate in the country to advocacy officer!!!!! A junior pisition
Mkuu sumu ya nyingu anapatikana wapi nami ni follow huko nahamu sana kupata report ya mambo yanayoendelea gizani
Jiwe anaishi kwa mashaka na wasiwasi mkubwa ndio maana ulinzi wake utafikiri nchi iko vitaniCha kushangaza maisha ya Mashaka Unaishi wewe badala ya jiwe...
Very candangalas
Aha kumbe mdude huyu niko naye kitambo sana na abduli Nondo vipi ile mambo ya maflash kigogo bado hayajatoa kabla ya uchaguzi wa 2020 ya sambae nahamu na hicho kituSUMU YA NYIGU.
View attachment 1204801
Taja wa wasalitiWatamkumbuka siku akina jingalao wakudadavua magonjwa Mtambuka stroke faiza fox toriff mtukufu mwanjini lizaboni muda wote simiyu yetu isis na wengineo wachache wanao hesabika humu mutakuwa mumechelewa sana tuombe uzima wakuu
Jiwe analala na mafaili? Anakesha usiku kuchaCha kushangaza maisha ya Mashaka Unaishi wewe badala ya jiwe...
Very candangalas