Turnkey
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 7,359
- 5,831
Ubunge third worldyani kutoka kuwa mbunge mpaka kuwa advocacy officer?pathetic
Ubunge third worldyani kutoka kuwa mbunge mpaka kuwa advocacy officer?pathetic
We jichekeshe tuu, aliyekuteua hakika nakuambia utakumbuka maneno yangu. Lazima siku moja ya hizo zijazo atatoa machozi na kujuta kwa nini alisukumiziwa?Siku zinaenda kasi sana....
Kipi Bora kwako najua mategemeo yako yamegonga mwambaDah kutoka kuwa mbunge,mnadhimu,mkurugenzi wa sheria chama kikuu cha upinzani,Rais wa wanasheria hadi Advocacy officer!
Bora akachukue phd tu kama Nshalla,itamsaidia
Nipo kama kawaida...Kamanda upo?
Maisha yanaenda kasi sana...Leo hii Lissu anakuwa legal officer Ulaya?We jichekeshe tuu, aliyekuteua hakika nakuambia utakumbuka maneno yangu. Lazima siku moja ya hizo zijazo atatoa machozi na kujuta kwa nini alisukumiziwa?
Baada ya kushindwa kutumia akili kubwa ya Lissu wazungu wanaenda kumtumia kuijenga nchi yao...
hatari sanaNipo kama kawaida...