Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,463
- 113,514
Mkuu Kaka Wakudadavua, kwa data, unatisha!.Ndugu zangu,
Kama hatabadilisha maamuzi basi Tundu Lissu ataanza kazi katika taasisi moja nchini Ubelgiji kama "advocacy officer".
Japo dili hili linamchanganya kuanza au kutoanza kufanya Ila amepewa hadi tarehe 20.09.2019 ili kuthibitisha kama atafanya au la,japo hata asipothibitisha wadau wamekubali kugharamia maisha yake ughaibuni.
Muda utaamua.
Wakudadavuwa
Brussels
Asante kwa taarifa hii, bandiko langu hili
Kwa mliomsikia Tundu Lissu kwenye Hard Talk, unadhani atarejea nchini? Mimi sina hakika na akirejea, atakuwa ni shujaa kuliko hata Nelson Mandela!
Wanabodi, Declaration of Interest Naomba ku declare interest kuwa japo mimi nina chama na sio chama cha Lissu, lakini namfahamu Lissu na kumkubali sana tuu, pia na sympathize na yeye kwa kilichompata, ila ninachofanya hapa ni being objective. Pia nafahamu fika kinachotokea kila ukifanya...
www.jamiiforums.com
P