Wataje tuwa-block.Kuna watu ni wa ku block.....
Wataje tuwa-block.Kuna watu ni wa ku block.....
Ati ndio unafundisha Domokrasia?Kuna watu ni wa ku block.....
Social stratification, academic stratification, water finds its own level! The position of a person in a society is determined by three factorsAti ndio unafundisha Domokrasia?
Kawadanganye hao walio kwenye stratosphere yako. Domocratic Republic of Utopia.(2)Social stratification, academic stratification, water finds its own level! The position of a person in a society is determined by three factors
1. Education
2. Outstanding performance in a society and
3. Wealth one possesses!
Hapo hakuna swala la demokrasi,ni kuwa you belong where you fit!
Huyo mangi retired siku zote jambo linalomgusa mbowe negatively linamfanya aweweseke.Kawadanganye hao walio kwenye stratosphere yako. Domocratic Republic of Utopia.(2)
Umesoma wapi nimesema Demokrasia?(1)
Surely, it is Domocracy that you are pitching.
Wataje tuwa-block.
Huyo mangi retired siku zote jambo linalomgusa mbowe negatively linamfanya aweweseke.
Mbowe is his demigod.
Mbona sijaona tatizo? Huu mgogoro unaoutaka Kila SIKU una maana Gani?Kwa lugha ya staha na hekima kubwa, mwanasiasa nguli huyu asikilizwe:
View attachment 2790323
Nyuzi mbili hIzi zinahusika:
1. "CHADEMA, Wanaharakati waalikeni waungwana mpatanishwe"
2. "Heko CCM: Wao wakifarakana, wewe kandamiza hapo hapo!"
Mafarakano ya nini wandugu?
View attachment 2790357
Kupigania haki ndiko kunako tukutanisha. Kulikoni tusikomae na adui yetu?
CCM project haiwezi kuwa kutafuta mapatano yetu. Bali kupalilia mafarakano.
Kwahio hii NDIO justification kuwa CHADEMA Kuna mgogoro?"Kupalilia mafarakano ni lugha ya CCM. Waweza kuwa waiongea kwa kujua au kutojua
Sasa dhambi Iko Wapi? Mamluki wapo Kila mahali, hata Sisi tuna Watu wetu wengi tu NDANI ya CCM na kwinginekoLisu anasema huko chadema kuna watu wanaitumikia ccm kwa kujua ama kwa kutokujua. Kufukia vichwa kwenye mchanga kama mbuni afanyavyo hakutasaidia kuondoa tatizo.
Kama kwa muono wako mada haimgusi mtu, utakuwa na matatizo makubwa kichwani.Lakini mbona mada haimgusi mtu?
Kuwa na mamluki kwenye ngazi za juu kabisa za uongozi ni jambo la hatari sana.Sasa dhambi Iko Wapi? Mamluki wapo Kila mahali, hata Sisi tuna Watu wetu wengi tu NDANI ya CCM na kwingineko
Mbona sijaona tatizo? Huu mgogoro unaoutaka Kila SIKU una maana Gani?
Nakwambia unakwenda kweye levelllllllllllKawadanganye hao walio kwenye stratosphere yako. Domocratic Republic of Utopia.(2)
Umesoma wapi nimesema Demokrasia?(1)
Surely, it is Domocracy that you are pitching.
Huo uwezo wa kufanya hivyo anautoa wapi? Kwa akili ipi? Mtu anaye "lose focus" unategemea kweli aache kuropoka? Akiacha kuropoka ataongea nini sasa kwenye huo wakati wa ku-lose focus?Tundu Lissu ashauriwe kuacha kuropoka na kuongea kila kitu. Tundu Lissu ana lose FOCUS.
Hujionei aibu kwa kuandika upuuzi upuuzi kila mara? Can you bring something sensible?Lissu kapona?
Huko xhadomo Mbowe kazi yake kuwatia waytu wazimu tu, Mnyika ndiyo hivo, sasa Lissu ndiyo hivyo.
Zitto alistuka mapema akajionea ni heri nusu shari kuliko shari kamili.
Halima Mdee ndiyo walewale.
Akajifanyie hiyo Psycho analysis mwenyeweHuyo mangi retired siku zote jambo linalomgusa mbowe negatively linamfanya aweweseke.
Potelea mbali. Atajijiju.Mbowe is his demigod.
Mimi nimezitowa habari hizo hapahapa JF. Wewe huzijuwi?Hujionei aibu kwa kuandika upuuzi upuuzi kila mara? Can you bring something sensible?
Hujionei aibu kwa kuandika upuuzi upuuzi kila mara? Can you bring something sensible?
Sidhani Lisu alisema katika mtazamo huo unaousema.Tundu Lissu ashauriwe kuacha kuropoka na kuongea kila kitu. Tundu Lissu ana lose FOCUS. Kwa mfano mkutano wake aliofanya Columbus Ohio jana kwa CHADEMA in Diaspora. Alikosoa uteuzi wa CCM kumteua Makonda kuwa Katibu Mwenezi.
Kama Makonda hafai kuwa Mwenezi mimi naona hiyo ni faida kwa UPINZANI kwa kuwa wana mtu asiyefaa. Sawa na kwenye mpira kwa mfano Tanzania tunacheza dhidi ya FRANCE, halafu Kocha wa Taifa wa France anampanga namba saba Ngolo Kante badala ya Kilian Mbappe. Je tukilalamika tutakuwa tuna akili kweli?