Kwa lugha ya staha na hekima kubwa, mwanasiasa nguli huyu asikilizwe:
===
Alichozungumza Tundu Lissu ktk video iliyowekwa hapo juu
"Naanza kuona maneno hivi hawa diaspora hao wasitubabaishe wasituingilie, hiyo ni lugha ya CCM. Anayezungumza lugha ya aina hiyo anasaidia wale waliotuumiza miaka yote.
Kwasababu lugha hiyo inaweka utofauti kati ya waliopo nyumbani na diaspora."
Tundu amesema diaspora ni muhimu ndio maana wamekuwa wakisaidia shughuli za kisiasa sio tu kuishia kulipia mawakili. Kwa hiyo sio kweli kwamba hawana umuhimu.
Amesema wanaotumia lugha hiyo kwa kujua au kutojua wanafanya kazi ya CCM.
====
Nyuzi mbili hIzi zinahusika:
1. "CHADEMA, Wanaharakati waalikeni waungwana mpatanishwe"
2. "Heko CCM: Wao wakifarakana, wewe kandamiza hapo hapo!"
Mafarakano ya nini wandugu?
Kupigania "haki" ndiko kunako tukutanisha. Kulikoni tusikomae na adui yetu?
CCM project haiwezi kuwa kutafuta mapatano yetu. Bali kupalilia mafarakano.
===
Alichozungumza Tundu Lissu ktk video iliyowekwa hapo juu
"Naanza kuona maneno hivi hawa diaspora hao wasitubabaishe wasituingilie, hiyo ni lugha ya CCM. Anayezungumza lugha ya aina hiyo anasaidia wale waliotuumiza miaka yote.
Kwasababu lugha hiyo inaweka utofauti kati ya waliopo nyumbani na diaspora."
Tundu amesema diaspora ni muhimu ndio maana wamekuwa wakisaidia shughuli za kisiasa sio tu kuishia kulipia mawakili. Kwa hiyo sio kweli kwamba hawana umuhimu.
Amesema wanaotumia lugha hiyo kwa kujua au kutojua wanafanya kazi ya CCM.
====
Nyuzi mbili hIzi zinahusika:
1. "CHADEMA, Wanaharakati waalikeni waungwana mpatanishwe"
2. "Heko CCM: Wao wakifarakana, wewe kandamiza hapo hapo!"
Mafarakano ya nini wandugu?
Kupigania "haki" ndiko kunako tukutanisha. Kulikoni tusikomae na adui yetu?
CCM project haiwezi kuwa kutafuta mapatano yetu. Bali kupalilia mafarakano.