Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 24,054
- 71,347
Wewe kiazi kweli, niletee hapa sauti au andiko la Lissu lolote analohamasisha Wanaume kufanya ushogaKuhamasisha wanaume kufanya ushoga ni akili kubwa??? Dah Na wewe unashangilia kabisaaa
Katiba yetu inaruhusu mahusiano/ndoa za jinsia tofauti nenda katafute mwenyewe
Ni baba mpumbavu pekee kama stone anayeweza kusifiwa kwa kumnunulia mkewe Iphone X lakini aliacha mwanae akafa kwa kukosa laki moja ya matibabu. Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ibara ya 8[1](a) inasema "Lengo kuu la serikali litakuwa ni ustawi wa (wananchi) WATU sio ustawi wa VITU. Asomaye na afahamu.!Makamanda wanadai uhuru na haki yao yakufukuliwa tope.
Daah... Maisha yapo Kasi sanaa.
DuhSi Dhani kama aliponywa na Mungu bali hirizi anazovaa! Muulize atakuambia ukweli.Maana aliyeponywa na Mungu asingesapoti ufiraji,Asingesema kitanuka asipotangazwa mshindi
Serikali ya John Pombe Magufuli inasapoti "Ushoga".Makonda alijitia bingwa wa kupinga ushoga lakini serikali ikamshughulikia haraka haraka akafunga domo sikumsikia mpaka leo akizungumza tena habari ya shoga!
Wakatoa na kabarua chap chap ati Tanzania inaheshimu haki za binadamu haihusiki na kupinga ushoga!
Duuhh!
Tulimwomba Mungu, na Mungu alimponya. Hata yeye anashuhudia kila mara kwamba kapona kwa Neema ya Mungu.Si Dhani kama aliponywa na Mungu bali hirizi anazovaa! Muulize atakuambia ukweli.Maana aliyeponywa na Mungu asingesapoti ufiraji,Asingesema kitanuka asipotangazwa mshindi
Si leo yule mzee wao kamuomba Sugu amsugue etiSerikali ya John Pombe Magufuli inasapoti "Ushoga".
NI NANI ALISHAKAMATWA NA KUSHITAKIWA KWA KOSA LA USHOGA?CCM IMEISHIWA HOJA
Tupe muendelezo wa iyo kesi ulikuwaje??? Alipewa adhabu gani na mahakama huyo mtu aliyekamatwa na polisi ????Mfanyakazi wa kike wa GGM ashikiliwa na Polisi kwa kumvisha Pete Mwanamke mwenzake
Kama ingekua serikali ya Tanzania haipingi masuala hayo, hao wahusika wasingekamatwa na polisi kwa kosa hilo.
James delicious na wenzie..NI NANI ALISHAKAMATWA NA KUSHITAKIWA KWA KOSA LA USHOGA?CCM IMEISHIWA HOJA
Nakujibu hivi:
Wakati walipokamatwa hadi kuhukumiwa ulifuatilia mtiririko wote au ulikuwa mtoto wakati huo?
Kwanza mimi niliweka rekodi sawa kuwa walihukumiwa kwa kubaka sio kulawiti.
Mtu yeyote akihukumiwa kwa kosa la jinai kisha akatumikia adhabu yake haendelei kuwa mhalifu wa kosa lile lile baada ya kumaliza adhabu. Hivyo Babu Seya wakati anaalikwa ikulu hakuwa mhalifu.
Wewe hapo inawezekana uliwahi kushiriki utoaji mimba ya mpenzi wako, je utoaji mimba na ubakaji lipi kosa kubwa zaidi?
Wakati wa kesi yake Kisutu, kuna mwalimu wa kike alikiri mahakamani kuwa yeye mwalimu ndiye alikuwa anawachukua hao watoto wa shule na kuwapeleka kwa babu Seya na wanawe wakafanye mapenzi lakini mwalimu huyo aliachiwa huru; sasa jiulize kwa nini huyo mwalimu hakufungwa wakati yeye ndiye mhusika namba moja? Katika akili ya kawaida tu inawezekana vipi baba na wanawe watatu wote kwa pamoja na wakati mmoja na mahali pamoja wafanye mapenzi na watoto tena katika nyumba ambayo mama yake mzazi babu Seya alikuwa akiishi hapo? Kumbuka babu Seya sio wa kizazi cha dot com.
Kwa nini mahakama ya rufaa Tanzania iliwaachilia watoto wawili wa babu Seya (nusu yao) wakati huo wameishakaa gerezani muda mrefu tu?
Kwa nini mtoto wa mwisho wa babu Seya (Francis) alihukumiwa kama mtu mzima wakati yeye wakati huo alikuwa mtoto wa miaka 17?
Ingawa ninaheshimu uamuzi wa mahakama, lakini kesi ile kuna mengi chini ya kapeti inawezekana kabisa ilitengenezwa ili kumkomoa.
NB: Mashambulizi mengi dhidi ya Rais Magufuli yanatokana na chuki binafsi kwa sababu tu ameziba mianya ya ufisadi na wizi wa fedha za umma ambazo wengi humu mlinufaika nazo aidha kwa kuiba moja kwa mija au kufaidika kupitia mnyororo wa wizi/ ufisadi baada ya wale walioiba kuja kuzitumia huku mitaani. Ndio maana hamuoni hata zuri moja alilofanya JPM.
Nakujibu hivi:
Wakati walipokamatwa hadi kuhukumiwa ulifuatilia mtiririko wote au ulikuwa mtoto wakati huo?
Kwanza mimi niliweka rekodi sawa kuwa walihukumiwa kwa kubaka sio kulawiti.
Mtu yeyote akihukumiwa kwa kosa la jinai kisha akatumikia adhabu yake haendelei kuwa mhalifu wa kosa lile lile baada ya kumaliza adhabu. Hivyo Babu Seya wakati anaalikwa ikulu hakuwa mhalifu.
Wewe hapo inawezekana uliwahi kushiriki utoaji mimba ya mpenzi wako, je utoaji mimba na ubakaji lipi kosa kubwa zaidi?
Wakati wa kesi yake Kisutu, kuna mwalimu wa kike alikiri mahakamani kuwa yeye mwalimu ndiye alikuwa anawachukua hao watoto wa shule na kuwapeleka kwa babu Seya na wanawe wakafanye mapenzi lakini mwalimu huyo aliachiwa huru; sasa jiulize kwa nini huyo mwalimu hakufungwa wakati yeye ndiye mhusika namba moja? Katika akili ya kawaida tu inawezekana vipi baba na wanawe watatu wote kwa pamoja na wakati mmoja na mahali pamoja wafanye mapenzi na watoto tena katika nyumba ambayo mama yake mzazi babu Seya alikuwa akiishi hapo? Kumbuka babu Seya sio wa kizazi cha dot com.
Kwa nini mahakama ya rufaa Tanzania iliwaachilia watoto wawili wa babu Seya (nusu yao) wakati huo wameishakaa gerezani muda mrefu tu?
Kwa nini mtoto wa mwisho wa babu Seya (Francis) alihukumiwa kama mtu mzima wakati yeye wakati huo alikuwa mtoto wa miaka 17?
Ingawa ninaheshimu uamuzi wa mahakama, lakini kesi ile kuna mengi chini ya kapeti inawezekana kabisa ilitengenezwa ili kumkomoa.
NB: Mashambulizi mengi dhidi ya Rais Magufuli yanatokana na chuki binafsi kwa sababu tu ameziba mianya ya ufisadi na wizi wa fedha za umma ambazo wengi humu mlinufaika nazo aidha kwa kuiba moja kwa mija au kufaidika kupitia mnyororo wa wizi/ ufisadi baada ya wale walioiba kuja kuzitumia huku mitaani. Ndio maana hamuoni hata zuri moja alilofanya JPM.
Hao wanaovinjari kwa sasa mmeshawasweka korokoroni?Kwa kusema ushoga ni suala la faragha hivyo atawaacha muendelee kujivinjari tu