Sishauri wala siafiki.
usalama wake bdo ni mdogo tanzania.
afya yake ni muhimu kwanza.
ushauri wangu akae kwanza huko mpaka awamu hi itoke
Mkuu yeye mwenyewe ndo anajihatarishia usalama wake.
Hivi mkuu kwa akili ya kawaida analofanya tundu lissu huku akiwa na familia nyuma inamtegemea ni sawa?
Hivi hajui kama watoto wake na familia ataiacha vipi huko nyuma?
Ebu ona juzi tu yupo hai anaomba msaada watoto wasome vipi angekufa ingekuwaje mkuu?
Hivi hajui kama angepigwa risasi na akafa maisha yangeendelea kuwa hivi hivi yalivyo na yeye teyari angeshakufa na kusahaulika huku watoto na familia ambayo inamtegemea wangebaki wanahangaika?
Tundu LISU anaweza sema kwamba anawatumikia watanzania dhidi ya udhalimu lakini ajue kwamba haitendei haki familia yake.
Unapokuwa mwanaharakati ambae huna unalojali katika uhai wako huwenda ukawa unawatetea watanzania lakini ukawa unawakandamiza wanao na kupelekea kukosa haki zao.wakati haki ambazo unatakiwa kutimiza ni zile za watu wa karibu kwanza.
Hivi unadhani familia ya lissu inafurahia kukosa misaasa ya lissu eti kwa sababu anatibiwa matatizo ambayo yametokana na kuipigania nchi?
Familia haipendezwi na anachokifanya na familia inaumia wala haina raha.tundu lissu namnasihi asome alama za nyakati.
Awe na akili ya kuangalia lipi akilisema litakuwa na madhara makubwa kuliko faidaa,akiona jambo linaweza kumdhuru uhai wake kwa mgongo wa kutetea haki basi ni bora akavumilia jambo hilo asiliseme,hata hata kama atalisema na uhai ukapotea basi atakuwa ameacha familis kubwa inamtegemea nyuma yake.
Lissu anajua kabisa kwamba anayoyasema yanazidisha uhatari juu ya uhai wake na hivyo huwenda kama hao waliokusudia kummaliza mwanzo watapata hasira zaidi na hapo kutafta mbadala ambao watahakikisha haponi tena kwa njia yeyote.
Awe makini sana TL.