Tundu Lissu: I Am Coming Home

Tundu Lissu: I Am Coming Home

Kwani Makamanda wako likizo leo?
Maana siwaoni kwenye uzi huu!
Nimeshindwa kuelewa maana naona LB7 wanatamba balaa

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
Kama taifa mnasaidiwa na hayo mataifa ya nje kuwezesha bajeti yenu angalau itekelezwe kwa 40%
Unamshangaaje mtu binafsi tena mpigania haki za watanzania kusaidiwa?
Home wapi, huku ambapo hawafai kuishi binadamu? akae hukohuko kwenye pepo aendelee kusaidiwa pesa ya chakula, pango na ada

In God we Trust
 
Anawatoa kamasi kama kondoo wa kitulo
Home wapi, huku ambapo hawafai kuishi binadamu? akae hukohuko kwenye pepo aendelee kusaidiwa pesa ya chakula, pango na ada
FB_IMG_1550477529716.jpeg


In God we Trust
 
kweli haya ni mahaba niue kwa lissu, sasa hapo kuna nini sasa kimeongelewa zaidi kusikiliza wimbo? au unadhani kila mtu humu ni rika lako?
Basi kama hutaki kusikia sauti yake itazame picha yake naona utamchukia jiwe wako
FB_IMG_1550477529716.jpeg


In God we Trust
 
Kama taifa mnasaidiwa na hayo mataifa ya nje kuwezesha bajeti yenu angalau itekelezwe kwa 40%
Unamshangaaje mtu binafsi tena mpigania haki za watanzania kusaidiwa?

In God we Trust
Mtu anayepigania haki za watanzania hawezi kuwasaidia mabeberu ili waendelee kupora rasilimali za nchi, anapiga kabobo mali zetu zilizoko ughaibuni zizuiliwe. eti mzalendo
 
Kwanza kwa sasa Lissu analindwa kuliko hata jiwe maana analindwa na mashirika makubwa ya kijasusi
Akirudi Lissu chochote mtakachpmfanya basi dunia nzima itajua kwasababu sahizi ulimwengu mzima unamjua.

Karibu Home MZEE baba tuendeleze mapambano
FB_IMG_1550477529716.jpeg


In God we Trust
 
Mtu anayepigania haki za watanzania hawezi kuwasaidia mabeberu ili waendelee kupora rasilimali za nchi, anapiga kabobo mali zetu zilizoko ughaibuni zizuiliwe. eti mzalendo
Kuna wizi uliofanyika zaidi ya kutumia 12bills kwenye chaguzi 3 za marudio? Wacha kujitoa ufahamu wewe

In God we Trust
 
Kwanza kwa sasa Lissu analindwa kuliko hata jiwe maana analindwa na mashirika makubwa ya kijasusiView attachment 1026554

In God we Trust
Wewe kweli mmawia, hii ni jamii ya wakimbizi kutoka msumbiji walioko kule mtwara wanaochukuliwa kama watu duni. Yaani unajivunia ulinzi wa kibinadamu? angekuwa anapewa huo ulinzi angeomba pesa ya kula, pango na ada za watoto? acheni kumpoteza mwenzenu maboya
 
Kuna wizi uliofanyika zaidi ya kutumia 12bills kwenye chaguzi 3 za marudio? Wacha kujitoa ufahamu wewe

In God we Trust
Kwa hiyo inahalalisha mabeberu yaje yajichotee kwa msaada wa huyo kilaza wenu
 
Wakati mnawaomba wawasidie kumalizia au kuanza miradi mnawaita waheshimiwa na kuwapigia magoti
Kwa hiyo inahalalisha mabeberu yaje yajichotee kwa msaada wa huyo kilaza wenu
FB_IMG_1550226275677.jpeg


In God we Trust
 
Ebu niambie 300billion ziko wapi mlizonyimwa baada ya kuwabagua watoto wa kike?wewe naona ndiyo hujui nini unaongea!
Wewe jamaa utakuwa kiazi kabisa, hujui benki ya dunia inachangiwa na nchi wanachama ikiwemo Tanzania, unaona ajabu nchi kukopa kwenye taasisi ya fedha ya kimataifa ambayo yenyewe ni mwanachama

In God we Trust
 
Back
Top Bottom