safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 12,312
- 18,180
mkuu tatixo letu tunaziamini sana katiba kuliko tunavyoamini uhalisia.
Hivi tundu lissu sasahivi kati ya katiba ambayo anaisimamia na uhalisia kipi kinafanya haya yaliyotokea yazidi kutokea?
Katiba imeandikwa na kuwekwa pale na watu ambao pengine hata wenyewe hawaifuati,katiba haina nguvu isipokuwa inaposimamiwa na viongozi wanaofuata hiyo katiba.
Inapotokea kiongozi haoni kama katiba inaweza kumuongoza alafu mtu akataka amkosoe raisi kupitia katiba hiyo hiyo ambayo yeyr haifuati matokeo yake huwa ni mabaya sana.
Namsikitikia sana tunDu lissu kwa kuishi na katiba kuliko anavyoishi na uhalisia.anazidi kujiharibia.wengi sana ambao wanakaaga kimya na kutokuzungumza kila neno wanaona mbali sana.wanaziona familia zao baada ya wao kuondoka namna gani zitateseka,wanajiona wenyewe baada ya kuongea namna ambavyo watateseka,wanawaona watoto wao wakikosa matunzo na hata kukosa ada za shule,wakiyafikiria hayo yanawafanya wachunge sana midomo yao na kuchunguza wanachotaka kukisema kabla hata ya kukisema.
TUNDU LISSU ANATAKIWA AJIFUNZE UHALISIA SIO KATIBA.ajifunze kwa mujibu wa mazingira,angekuwa sasa hivi ilikuwa wameshamsahau na angekuwa ameacha familia kubwa ambayo inamtegemea yeye.
Uhalisia.
Hivi tundu lissu sasahivi kati ya katiba ambayo anaisimamia na uhalisia kipi kinafanya haya yaliyotokea yazidi kutokea?
Katiba imeandikwa na kuwekwa pale na watu ambao pengine hata wenyewe hawaifuati,katiba haina nguvu isipokuwa inaposimamiwa na viongozi wanaofuata hiyo katiba.
Inapotokea kiongozi haoni kama katiba inaweza kumuongoza alafu mtu akataka amkosoe raisi kupitia katiba hiyo hiyo ambayo yeyr haifuati matokeo yake huwa ni mabaya sana.
Namsikitikia sana tunDu lissu kwa kuishi na katiba kuliko anavyoishi na uhalisia.anazidi kujiharibia.wengi sana ambao wanakaaga kimya na kutokuzungumza kila neno wanaona mbali sana.wanaziona familia zao baada ya wao kuondoka namna gani zitateseka,wanajiona wenyewe baada ya kuongea namna ambavyo watateseka,wanawaona watoto wao wakikosa matunzo na hata kukosa ada za shule,wakiyafikiria hayo yanawafanya wachunge sana midomo yao na kuchunguza wanachotaka kukisema kabla hata ya kukisema.
TUNDU LISSU ANATAKIWA AJIFUNZE UHALISIA SIO KATIBA.ajifunze kwa mujibu wa mazingira,angekuwa sasa hivi ilikuwa wameshamsahau na angekuwa ameacha familia kubwa ambayo inamtegemea yeye.
Uhalisia.
Ni ajabu kuishi katika nchi ya kidemokrasia, yenye viongozi wa kuchaguliwa, ambako mpinzani akifanya kazi yake ya kuikosoa Serikali kwa mujibu Katiba na sheria, anapigwa. risasi, halafu anazuiliwa fedha za matibabu, Kisha hatakiwi hata kufumbua kinywa kueleza kilichomsibu!!! Tumeufikia ufidhuli wa kiwango cha lami. Kweli "mkataa pema pabaya panamwita!!!"