Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 33,884
- 32,660
Arudi tu manaake mshahara umekatwa la sivyo atafute kazi ya kupiga deki mahospitali huko ulaya.
Mwenyewe simkubali jiwe lakini huyo mpuuzi amenimalizia tu MB's maana hata lissu hajaongea.kweli haya ni mahaba niue kwa lissu, sasa hapo kuna nini sasa kimeongelewa zaidi kusikiliza wimbo? au unadhani kila mtu humu ni rika lako?
Arudi tena mashenzini ambako hakufai kuishi watu, ake hukohuko wanapokaa wastaarabu kama yeye, genius. Pathetic!!
Home wapi, huku ambapo hawafai kuishi binadamu? akae hukohuko kwenye pepo aendelee kusaidiwa pesa ya chakula, pango na ada
Teh..acha genius aendelee kujinafasi, si pesa ya chakula, pango na ada anachangiwa?Punguza povu 🙄🙄
Mwehu huyo ndani ya wheelchair umfanye nini tena naye ni mfu tayari
Thamani yake ni zero
Sent using Jamii Forums mobile app
Ujinga wenu ni wakujitakiaHome wapi, huku ambapo hawafai kuishi binadamu? akae hukohuko kwenye pepo aendelee kusaidiwa pesa ya chakula, pango na ada
Aendelee kukomaa apewe nchi kwenye sahani, yule wa venezuela zari lake linakaribia kutikiUjinga wenu ni wakujitakia
Ilani yenye katiba mpya, haki za binadamu, uangamizaji ufisadi na kufanikiwa kwa kukanya katiba iliyopo. Kukiuka haki za kibinadamu kwa kiwango ambacho hakijawahi kushudiwa, kupiga tr2.4 zisizo nma maelezo. idumu CCM.Aje asije CCM mwendo mdundo - wanatekeleza Ilani ya uchaguzi ya mwaka 2015 - 2020
Lissu wa kawaida sana
Nakuomba atakaporejea usibadirishe ID na gia.Aendelee kukomaa apewe nchi kwenye sahani, yule wa venezuela zari lake linakaribia kutiki
Atakuimbia ile song ya "hatunywi sumu hatujinyongiii...."Mbona umeongea kwa jazba,
Lazima arudi. Ili unywe sumu vizuri...
Lucifer original kazi yake ni kuua, kuchinja na kuharibu. Kwa maneno yako you sound like the real lucifer. Ila unapaswa kujua, Lucifer sehemu yake ni lile ziwa liwakalo moto. Kama Mungu aishivyo na wewe ukaishie kwenye wheelchair maisha yako yote. Kama sio leo ni kesho. Mark my words. Mungu hadhihakiwiMwehu huyo ndani ya wheelchair umfanye nini tena naye ni mfu tayari
Thamani yake ni zero
Sent using Jamii Forums mobile app
Teh..itakuwa wachangiaji wameanza kumchoka, asilimia kubwa watu weusi waliopo majuu wanaishi maisha ya kuungaunga tu apate pesa ya kula, kulipia bili na pango na wengi wanafanya kazi za boxArudi tu manaake mshahara umekatwa la sivyo atafute kazi ya kupiga deki mahospitali huko ulaya.
Nakuhakikishia hachukui hata wiki tatu, atakuwa maiti na kuzikwa kwa aibu. Mwambie akaribie. AtatukutaAkirudi Lissu chochote mtakachpmfanya basi dunia nzima itajua kwasababu sahizi ulimwengu mzima unamjua.
Karibu Home MZEE baba tuendeleze mapambano