Napenda sana namna Tundu Lissu anavyomkaanga papa kwa mafuta yake

Lituye

JF-Expert Member
Dec 27, 2015
1,862
5,680
Bila kupotezeana muda Tundu LISSU anasema hivi Magufuli alikataa kusaini mkataba mmoja tuu wa wachina ambao waliomba kujenga bandari kwa pesa zao lakini wakaweka sharti waimiliki kwa miaka 99.

Magufuli alikataa na akasema ni kichaa pekee anaweza kusaini mkataba wa namna hii amabo hauna tija kwa taifa.

Samia amesaini mkataba na waarabu kugawa Bandari za Tanganyika zote bure. Yaani wachina waliomba wajenge wenyewe wakataliwa na Magufuli lakini waarabu wanakuja Tanganyika na mabegi tuu wanaanza kuchuma mipesa ya watanganyika kupitia rasimali zao ambao zimetugharimu pesa nyingi kuziendeleza.

Tundu Lissu anasema kwenye mkataba huu wa kihuni Samia amesaini mwenyewe anatokaje? Ameingia mkenge na ametukosea sana sisi Watanganyika.

Kila Mtanganyika mzalendo bila kujali itikadi tumwambie Samia kuwa aige busara za walio mtangulia kama Lowasa na mwinyi mambo yalipo kuwa magumu walifanya maamuzi.

Mungu mbariki Tundu Lissu Mungu ibariki Tanganyika Mungu ibariki Chadema.
 
Samia nasikia analia tu hadi wakampeleka kumpepea huko Saudia na Dubai.... anataka kususa!
Yaani kila nikiangalia sura ya yule mama najikuta mimi ndio naona aibu. Sijui anapata wapi ujasiri hata wa kuongea, akalee wajukuu zake huko chakechake aachane kabisa na biashara ya kuiuza Tanganyika atajutaa.
 
Analia wakati wiki hii ofisin tumeongeza nae na atakuja kwenye cocktails yetu?. KALAGA BHAHO
Za ndaani kabisa zinadai bi ajuza muuza bandari Leo amewasili Tanganyika kimya kimya toka kwa waarabu. Yaani siku hizi hata ziara zake wanaovopa kuzitangaza kwa kweli usaliti ni mbaya sana.

Nimeanza kuamini maneno ya Polepole kuwa ndani ya ccm kuna wahuni.
 
Samia hafai hata kulumangia.

Mama gani unaenda kugawa urithi wa watoto wako kwa wageni!.

Hawa watu wamejenga kiburi wanadhani kwa sababu wana madaraka tena madaraka waliyoyapata kwa kudhulumu kura za wananchi basi wanaweza kufanya lolote.

Kwa mkataba huu wa kuuza uhuru wa nchi yetu, sovereignty yetu, Huyu mama hatoshi kuendelea kuwa rais wa nchi yetu. Atoke tu, hafai!
 
Bila kupotezeana muda Tundu LISSU anasema hivi Magufuli alikataa kusaini mkataba mmoja tuu wa wachina ambao waliomba kujenga bandari kwa pesa zao lakini wakaweka sharti waimiliki kwa miaka 99.

Magufuli alikataa na akasema ni kichaa pekee anaweza kusaini mkataba wa namna hii amabo hauna tija kwa taifa.

Samia amesaini mkataba na waarabu kugawa Bandari za Tanganyika zote bure. Yaani wachina waliomba wajenge wenyewe wakataliwa na Magufuli lakini waarabu wanakuja Tanganyika na mabegi tuu wanaanza kuchuma mipesa ya watanganyika kupitia rasimali zao ambao zimetugharimu pesa nyingi kuziendeleza.

Tundu Lissu anasema kwenye mkataba huu wa kihuni Samia amesaini mwenyewe anatokaje? Ameingia mkenge na ametukosea sana sisi Watanganyika.

Kila Mtanganyika mzalendo bila kujali itikadi tumwambie Samia kuwa aige busara za walio mtangulia kama Lowasa na mwinyi mambo yalipo kuwa magumu walifanya maamuzi.

Mungu mbariki Tundu Lissu Mungu ibariki Tanganyika Mungu ibariki Chadema.

Mtupe nchi yetu Zanzibar mliyoivamia na kuuwa maelfu ya watu na kujimilikisha kila kitu , Mkuiki kwa nguruwe ???
 
Yaani kila nikiangalia sura ya yule mama najikuta mimi ndio naona aibu. Sijui anapata wapi ujasiri hata wa kuongea, akalee wajukuu zake huko chakechake aachane kabisa na biashara ya kuiuza Tanganyika atajutaa.
Hili halitapita hivi hivi
 
CCM_Umoja tuna unga mkono.

Umoja Oyeeee.
Pipoooz Oyeeee.

Watanzania na Watanganyika Oyeeee
 
20141018_MAP004_0.jpg
 
Bila kupotezeana muda Tundu LISSU anasema hivi Magufuli alikataa kusaini mkataba mmoja tuu wa wachina ambao waliomba kujenga bandari kwa pesa zao lakini wakaweka sharti waimiliki kwa miaka 99.

Magufuli alikataa na akasema ni kichaa pekee anaweza kusaini mkataba wa namna hii amabo hauna tija kwa taifa.

Samia amesaini mkataba na waarabu kugawa Bandari za Tanganyika zote bure. Yaani wachina waliomba wajenge wenyewe wakataliwa na Magufuli lakini waarabu wanakuja Tanganyika na mabegi tuu wanaanza kuchuma mipesa ya watanganyika kupitia rasimali zao ambao zimetugharimu pesa nyingi kuziendeleza.

Tundu Lissu anasema kwenye mkataba huu wa kihuni Samia amesaini mwenyewe anatokaje? Ameingia mkenge na ametukosea sana sisi Watanganyika.

Kila Mtanganyika mzalendo bila kujali itikadi tumwambie Samia kuwa aige busara za walio mtangulia kama Lowasa na mwinyi mambo yalipo kuwa magumu walifanya maamuzi.

Mungu mbariki Tundu Lissu Mungu ibariki Tanganyika Mungu ibariki Chadema.
Umeandika vizuri sana

Wewe ni jiniasi.
 

Attachments

  • AUD-20230802-WA0047.aac
    4 MB · Views: 2
Back
Top Bottom