Chey na Mrema walianza mapema mno na hawakuweka wagombea urais
ACT wanamgombea wao aliefuata mchakato wote,upinzani wa Tanzania utaendelea kushindwa miaka yote kwa ubabaishaji kama huu
Kwan chadema walikua wapi wakati ACT wanaanza mchakato?hii ni dalili ya kunusa kushindwa,wanazinyatia kura za muungano za ACT,halafu wakishindwa watatupa lawama kwa Membe kwamba ni jasusi alikuja kuwavuruga,kumbe wanajivuruga wenyewe
ACT wanamgombea wao aliefuata mchakato wote,upinzani wa Tanzania utaendelea kushindwa miaka yote kwa ubabaishaji kama huu
Kwan chadema walikua wapi wakati ACT wanaanza mchakato?hii ni dalili ya kunusa kushindwa,wanazinyatia kura za muungano za ACT,halafu wakishindwa watatupa lawama kwa Membe kwamba ni jasusi alikuja kuwavuruga,kumbe wanajivuruga wenyewe