Yule chizi?Hujui alichosema Dk Mollel?
Uzi una malengo ya uchonganishi,unafiki,uzandiki,kupima upepo na upashkuna.Leo hii unamsifu Lissu?Nini kimetokea?Umepatwa na degedege?Ulikuwa ni mwanasheria mzuri na mpaka sasa ni mwanasheria mzuri sana.
Ulikuwa ukipigania haki za watanzania kwa weledi mkubwa sana.
Kumbuka sakata la wananchi wa Bulyanhulu ulivyowasaidia kupigania haki zao. Hawa ni wananchi waliofukiwa na serikali ili kupisha muwekezaji aweke mgodi pale Bulyanhulu.
Ulikuwa umejikita kwenye ishu za kutetea haki za binadamu na ulifanya kazi kwa weledi.
Ulipoingia kwenye siasa na kujiunga Chadema hapo ndipo ulianza kuharibu mambo yako.
Ni kwa sababu hukujua kuwa Chadema imejaa wanafiki na masnitch na hawa ndio waliokuuza na mpaka sasa umepata ulemavu wa kudumu. Chadema sio watu wema. Muulize Dk Godwin Mollel.
Raia mwema
Hoja ni nama Lissu alivyoruin maisha yake baada ya kujoin Chadema.You must be really desperate. Leo unamtambua Tundu Lissu kama mtu wa maana? Halafu unajaribu kumtenga na CHADEMA? Won’t happen. Lissu hawezi ku co-exist na uongo na uozo wa Lumumba.
Endelea kushikamana na wenzio huko Lumumba katika msimamo wa mwendazake kuwa Lissu ni msaliti; hastahili kuishi. Hiyo historia ya Lissu wa Bulyanhulu wenzio hawaijui na hawataki kuijua. Inaondoa utukufu wa mwendazake.
Ninyi ndio watu msio na akili. Mtu yeyote anayejifikiria yeye, tumbo lake na familia yake kama wewe Mwandishi, namdai!Ulikuwa ni mwanasheria mzuri na mpaka sasa ni mwanasheria mzuri sana.
Ulikuwa ukipigania haki za watanzania kwa weledi mkubwa sana.
Kumbuka sakata la wananchi wa Bulyanhulu ulivyowasaidia kupigania haki zao. Hawa ni wananchi waliofukiwa na serikali ili kupisha muwekezaji aweke mgodi pale Bulyanhulu.
Ulikuwa umejikita kwenye ishu za kutetea haki za binadamu na ulifanya kazi kwa weledi.
Ulipoingia kwenye siasa na kujiunga Chadema hapo ndipo ulianza kuharibu mambo yako.
Ni kwa sababu hukujua kuwa Chadema imejaa wanafiki na masnitch na hawa ndio waliokuuza na mpaka sasa umepata ulemavu wa kudumu. Chadema sio watu wema. Muulize Dk Godwin Mollel.
Mapimbi ni ukoo wako wote.Wewe pimbi usiejua kusoma na kuandika kuna mahala nimemsifu Lissu.
?
Godwin Mollel huyu huyu wa Covid za mapapai, na mashine za kujifukiza Muhimbili?Ulikuwa ni mwanasheria mzuri na mpaka sasa ni mwanasheria mzuri sana.
Ulikuwa ukipigania haki za watanzania kwa weledi mkubwa sana.
Kumbuka sakata la wananchi wa Bulyanhulu ulivyowasaidia kupigania haki zao. Hawa ni wananchi waliofukiwa na serikali ili kupisha muwekezaji aweke mgodi pale Bulyanhulu.
Ulikuwa umejikita kwenye ishu za kutetea haki za binadamu na ulifanya kazi kwa weledi.
Ulipoingia kwenye siasa na kujiunga Chadema hapo ndipo ulianza kuharibu mambo yako.
Ni kwa sababu hukujua kuwa Chadema imejaa wanafiki na masnitch na hawa ndio waliokuuza na mpaka sasa umepata ulemavu wa kudumu. Chadema sio watu wema. Muulize Dk Godwin Mollel.
Upuuzi kiwango ya Lami.Ulikuwa ni mwanasheria mzuri na mpaka sasa ni mwanasheria mzuri sana.
Ulikuwa ukipigania haki za watanzania kwa weledi mkubwa sana.
Kumbuka sakata la wananchi wa Bulyanhulu ulivyowasaidia kupigania haki zao. Hawa ni wananchi waliofukiwa na serikali ili kupisha muwekezaji aweke mgodi pale Bulyanhulu.
Ulikuwa umejikita kwenye ishu za kutetea haki za binadamu na ulifanya kazi kwa weledi.
Ulipoingia kwenye siasa na kujiunga Chadema hapo ndipo ulianza kuharibu mambo yako.
Ni kwa sababu hukujua kuwa Chadema imejaa wanafiki na masnitch na hawa ndio waliokuuza na mpaka sasa umepata ulemavu wa kudumu. Chadema sio watu wema. Muulize Dk Godwin Mollel.
Haha, mjinga anamwusia mwerevu😀🙌Ulikuwa ni mwanasheria mzuri na mpaka sasa ni mwanasheria mzuri sana.
Ulikuwa ukipigania haki za watanzania kwa weledi mkubwa sana.
Kumbuka sakata la wananchi wa Bulyanhulu ulivyowasaidia kupigania haki zao. Hawa ni wananchi waliofukiwa na serikali ili kupisha muwekezaji aweke mgodi pale Bulyanhulu.
Ulikuwa umejikita kwenye ishu za kutetea haki za binadamu na ulifanya kazi kwa weledi.
Ulipoingia kwenye siasa na kujiunga Chadema hapo ndipo ulianza kuharibu mambo yako.
Ni kwa sababu hukujua kuwa Chadema imejaa wanafiki na masnitch na hawa ndio waliokuuza na mpaka sasa umepata ulemavu wa kudumu. Chadema sio watu wema. Muulize Dk Godwin Mollel.
Kimada aliefukuzwa kama mbwa kokoUnaongea kama nani?
Nimemuazima mama yako mzazi aendee ngomani.Leo umevaa shanga gani?