Tundu Lissu Chadema imegharimu sana maisha yako na kukupa hasara kubwa. Hawa sio watu wema

Ulikuwa ni mwanasheria mzuri na mpaka sasa ni mwanasheria mzuri sana.

Ulikuwa ukipigania haki za watanzania kwa weledi mkubwa sana.

Kumbuka sakata la wananchi wa Bulyanhulu ulivyowasaidia kupigania haki zao. Hawa ni wananchi waliofukiwa na serikali ili kupisha muwekezaji aweke mgodi pale Bulyanhulu.

Ulikuwa umejikita kwenye ishu za kutetea haki za binadamu na ulifanya kazi kwa weledi.

Ulipoingia kwenye siasa na kujiunga Chadema hapo ndipo ulianza kuharibu mambo yako.

Ni kwa sababu hukujua kuwa Chadema imejaa wanafiki na masnitch na hawa ndio waliokuuza na mpaka sasa umepata ulemavu wa kudumu. Chadema sio watu wema. Muulize Dk Godwin Mollel.
Uzi una malengo ya uchonganishi,unafiki,uzandiki,kupima upepo na upashkuna.Leo hii unamsifu Lissu?Nini kimetokea?Umepatwa na degedege?
 
Raia mwema

You must be really desperate. Leo unamtambua Tundu Lissu kama mtu wa maana? Halafu unajaribu kumtenga na CHADEMA? Won’t happen. Lissu hawezi ku co-exist na uongo na uozo wa Lumumba.

Endelea kushikamana na wenzio huko Lumumba katika msimamo wa mwendazake kuwa Lissu ni msaliti; hastahili kuishi. Hiyo historia ya Lissu wa Bulyanhulu wenzio hawaijui na hawataki kuijua. Inaondoa utukufu wa mwendazake.
 
You must be really desperate. Leo unamtambua Tundu Lissu kama mtu wa maana? Halafu unajaribu kumtenga na CHADEMA? Won’t happen. Lissu hawezi ku co-exist na uongo na uozo wa Lumumba.

Endelea kushikamana na wenzio huko Lumumba katika msimamo wa mwendazake kuwa Lissu ni msaliti; hastahili kuishi. Hiyo historia ya Lissu wa Bulyanhulu wenzio hawaijui na hawataki kuijua. Inaondoa utukufu wa mwendazake.
Hoja ni nama Lissu alivyoruin maisha yake baada ya kujoin Chadema.
 
Ulikuwa ni mwanasheria mzuri na mpaka sasa ni mwanasheria mzuri sana.

Ulikuwa ukipigania haki za watanzania kwa weledi mkubwa sana.

Kumbuka sakata la wananchi wa Bulyanhulu ulivyowasaidia kupigania haki zao. Hawa ni wananchi waliofukiwa na serikali ili kupisha muwekezaji aweke mgodi pale Bulyanhulu.

Ulikuwa umejikita kwenye ishu za kutetea haki za binadamu na ulifanya kazi kwa weledi.

Ulipoingia kwenye siasa na kujiunga Chadema hapo ndipo ulianza kuharibu mambo yako.

Ni kwa sababu hukujua kuwa Chadema imejaa wanafiki na masnitch na hawa ndio waliokuuza na mpaka sasa umepata ulemavu wa kudumu. Chadema sio watu wema. Muulize Dk Godwin Mollel.
Ninyi ndio watu msio na akili. Mtu yeyote anayejifikiria yeye, tumbo lake na familia yake kama wewe Mwandishi, namdai!
 
Ulikuwa ni mwanasheria mzuri na mpaka sasa ni mwanasheria mzuri sana.

Ulikuwa ukipigania haki za watanzania kwa weledi mkubwa sana.

Kumbuka sakata la wananchi wa Bulyanhulu ulivyowasaidia kupigania haki zao. Hawa ni wananchi waliofukiwa na serikali ili kupisha muwekezaji aweke mgodi pale Bulyanhulu.

Ulikuwa umejikita kwenye ishu za kutetea haki za binadamu na ulifanya kazi kwa weledi.

Ulipoingia kwenye siasa na kujiunga Chadema hapo ndipo ulianza kuharibu mambo yako.

Ni kwa sababu hukujua kuwa Chadema imejaa wanafiki na masnitch na hawa ndio waliokuuza na mpaka sasa umepata ulemavu wa kudumu. Chadema sio watu wema. Muulize Dk Godwin Mollel.
Godwin Mollel huyu huyu wa Covid za mapapai, na mashine za kujifukiza Muhimbili?
Na mwenzie Gwajima?
 
Ulikuwa ni mwanasheria mzuri na mpaka sasa ni mwanasheria mzuri sana.

Ulikuwa ukipigania haki za watanzania kwa weledi mkubwa sana.

Kumbuka sakata la wananchi wa Bulyanhulu ulivyowasaidia kupigania haki zao. Hawa ni wananchi waliofukiwa na serikali ili kupisha muwekezaji aweke mgodi pale Bulyanhulu.

Ulikuwa umejikita kwenye ishu za kutetea haki za binadamu na ulifanya kazi kwa weledi.

Ulipoingia kwenye siasa na kujiunga Chadema hapo ndipo ulianza kuharibu mambo yako.

Ni kwa sababu hukujua kuwa Chadema imejaa wanafiki na masnitch na hawa ndio waliokuuza na mpaka sasa umepata ulemavu wa kudumu. Chadema sio watu wema. Muulize Dk Godwin Mollel.
Upuuzi kiwango ya Lami.

Sent from my SM-A115AZ using JamiiForums mobile app
 
Ulikuwa ni mwanasheria mzuri na mpaka sasa ni mwanasheria mzuri sana.

Ulikuwa ukipigania haki za watanzania kwa weledi mkubwa sana.

Kumbuka sakata la wananchi wa Bulyanhulu ulivyowasaidia kupigania haki zao. Hawa ni wananchi waliofukiwa na serikali ili kupisha muwekezaji aweke mgodi pale Bulyanhulu.

Ulikuwa umejikita kwenye ishu za kutetea haki za binadamu na ulifanya kazi kwa weledi.

Ulipoingia kwenye siasa na kujiunga Chadema hapo ndipo ulianza kuharibu mambo yako.

Ni kwa sababu hukujua kuwa Chadema imejaa wanafiki na masnitch na hawa ndio waliokuuza na mpaka sasa umepata ulemavu wa kudumu. Chadema sio watu wema. Muulize Dk Godwin Mollel.
Haha, mjinga anamwusia mwerevu😀🙌
 
Back
Top Bottom