Tundu Lissu awasili Washington DC, Marekani

Tundu Lissu awasili Washington DC, Marekani

Lisu mijadala haiwezi ni mmbwekaji tu lazima atachemka tu kwenye huo mjadala sababu anachojua ni kutoa hotuba ni mpenda kusema nisikilize Mimi badala ya kujadili atakuwa akihutubia hotuba yenye mihemko isiyo na pointi akitaka kunganganiza hoja kwa mikelele bila pointi.Lisu kwenye midahalo ni zero.
Wewe mwenyewe ni zero mbumbumbu kilaza kingereza hujui unawezaje kujua Tundu Lisu kaongea nini? Acha ungese wako peleka ushamba wako kwa wajinga wenzako kolomije.
 
Ikifika 2021 tutakuja kukumbushana panapo majaaliwa ya Mungu kuhusu Mbio hizi Za Sakafuni Kama Ambavyo tunajikumbusha thread Za Lowassa Za kabla ya Uchaguzi wa 2015 japo wakati huo tulionekana tunasema Uongo!

Naona kwa Akili zako finyu unajifariji kwa kumbukumbu za nyuma ambazo hazifanani na Tukio la Tundu Lisu ambaye kafanyiwa unyama mkubwa na Bashite na kikundi chake.
 
Tabu ipo pale pale....huyoo kawasili Washington. Awamu hii atajibiwa na

1. Mwenyekiti wa taifa
2. Mawaziri wrote
3. Makatibu wakuu
4. Wakurugenzi
5. Polisi
7. Wenyeviti, makatibu na makatibu wenezi wa ngazi zote
100. Walamba nyayo wote
 
vip si yule anayejiita mtetezi wa Magufuri Msiba si alisema mke wa Lisu amekuja Tanzania kimya kimya mbona yupo na lisu?

Cyprian musiba na Le mutuz wanakesha na kushinda kwa waganga wa kienyeji kwa sasa wamekuwa vigagula wa kutisha sana wanatanani kuruka na Ungo kwenda huko kufanya uchawi wao.
 
Tabu ipo pale pale....huyoo kawasili Washington. Awamu hii atajibiwa na

1. Mwenyekiti wa taifa
2. Mawaziri wrote
3. Makatibu wakuu
4. Wakurugenzi
5. Polisi
7. Wenyeviti, makatibu na makatibu wenezi wa ngazi zote
100. Walamba nyayo wote

8-cyprian Musiba na vijarida vyake vya kifala fala
 
Lisu mijadala haiwezi ni mmbwekaji tu lazima atachemka tu kwenye huo mjadala sababu anachojua ni kutoa hotuba ni mpenda kusema nisikilize Mimi badala ya kujadili atakuwa akihutubia hotuba yenye mihemko isiyo na pointi akitaka kunganganiza hoja kwa mikelele bila pointi.Lisu kwenye midahalo ni zero.
Kama hana hoja kwa nini mnasema asizungumze arudi nyumbani?
 
Lisu mijadala haiwezi ni mmbwekaji tu lazima atachemka tu kwenye huo mjadala sababu anachojua ni kutoa hotuba ni mpenda kusema nisikilize Mimi badala ya kujadili atakuwa akihutubia hotuba yenye mihemko isiyo na pointi akitaka kunganganiza hoja kwa mikelele bila pointi.Lisu kwenye midahalo ni zero.
Ni aibu chama na serikali yote kuanza kujibu mijadala isiyo na point.
 
Usisahau kuwa wao sio vilanja wa demokrasia ama amani.... Ila wanaangalia maslahi yao... Wanatumia tuhuma kufuta misaada na kumuinamisha aliyepo madarakani ama kutuchagulia wengine ili wafaidike.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tundu lissu anawachezesha Ngoma ccm Bila mapumziko,mwaka huu watakoma

Sent using Jamii Forums mobile app

CCM ni wajinga sana yaani badala ya kukaa wamkanye na kumlaumu Daud Arbaty Bashite ambaye ndiye kawaletea shiiida yote kwa Tabia yake mbaya ya kuwapiga Risasi Wapinzani wamekalia kumsikiliza kubuni mbinu zingine za kishamba kupambana na Tundu Lisu.
 
Lisu mijadala haiwezi ni mmbwekaji tu lazima atachemka tu kwenye huo mjadala sababu anachojua ni kutoa hotuba ni mpenda kusema nisikilize Mimi badala ya kujadili atakuwa akihutubia hotuba yenye mihemko isiyo na pointi akitaka kunganganiza hoja kwa mikelele bila pointi.Lisu kwenye midahalo ni zero.
Subiri na bado mtanyooka tu,maana ni mbwekaji kama wewe tu ulivyo mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mh. Lissu amewasili Washington D.C. leo salama akiwa ameongozana na mke wake. Mh. Lissu ataanza ziara yake kesho Jumanne, February 5, 2019.

Kesho asubuhi amepangiwa kuzungumza katika Chuo Kikuu cha George Washington kilichopo katikati ya mji mkuu wa Marekani, Washington D.C. Mada ya mazungumzo haya ni *“Tanzania’s Democratic Challenge.”*

Jenniffer Cooke, The Instute for African Studies (IAfS) Director, ataongoza mazungumzo haya na mgeni mualikwa Ndugu Tundu Lissu.

Tutaendelea kuwajulisha ratiba yake kila siku hadi mwisho wa ziara yake.
View attachment 1013815

Kwanini ume-photo shop hiyo picha? White house imefunikwa na barafu, iweje unatoa picha ya spring?
 
Back
Top Bottom