Tundu Lissu awasili Washington DC, Marekani

Tundu Lissu awasili Washington DC, Marekani

Namuona Masilingiii balozi akitamani kuzuia ziara ya Lissu, Poleni, mtafunika nyeti zenu kwa mikono. Nguo mshavua wenyewe Lissu anawavua chuppi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lisu mijadala haiwezi ni mmbwekaji tu lazima atachemka tu kwenye huo mjadala sababu anachojua ni kutoa hotuba ni mpenda kusema nisikilize Mimi badala ya kujadili atakuwa akihutubia hotuba yenye mihemko isiyo na pointi akitaka kunganganiza hoja kwa mikelele bila pointi.Lisu kwenye midahalo ni zero.
Wewe ni mpumbavu tu kama mwenyekiti wako

Sent using Sukhoi Su-57
 
Kawoli wewe unataka Je ?!
Asisemwe ?, Asipingwe ?.
Kama ni kazi hakuna anayemlisha mtu. Hata Maghufuli hamlishi mtu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sipingi mkuu wa kaya kukosolewa Wala sipingi lisu anavyojaribu kuonyesha madudu ya serikali hususani kwenye Uhuru wa kufanya siasa kwa Vyama vingne.
Ishu hapa NI vijana kuwa na expectations kubwa kuliko uhalisia.
Wanasubr mpk mtu Kama lisu ainuke na wao waanze kupiga kelele.

To me mapinduzi/mabadiliko ya kisiasa hayaletwi na mtu moja Wala kupiga kelele huku umeficha identity. Kama kweli tunamsapoti lisu kwa kuona anachofanya ni sahihi basi na sisi tuingie mtaani, twendeni ikulu, tusikimbie risasi Wala kuogopa chochote.
Tofauti na hapo huku ni kuwehuka tuu bora kulima matikiki kuliko kupiga kelele kwa keyboard.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bob Wine of Uganda did the same....what happened?nothing ...Museveni bado yuko anadunda

Wazungu huwa wanaweka kumbukumbu mavichwani...

Unakumbuka Bunge la European Union walivyotoa ule mkeka wa sababu za maazimio yao against Tanzania? Unadhani mambo yale huwa wanayasikia wapi, TBC?

Yote haya yanayosemwa kwenye hayo ma forum yao na kushutumiwa kwenye platform za kila aina huwa wanayafanyia kazi na wanayaweka kibindoni.

Mwafrika ambae haoni mbele ndio anadhani yamepita, si ndwele, wamepotezea!
 
Lisu mijadala haiwezi ni mmbwekaji tu lazima atachemka tu kwenye huo mjadala sababu anachojua ni kutoa hotuba ni mpenda kusema nisikilize Mimi badala ya kujadili atakuwa akihutubia hotuba yenye mihemko isiyo na pointi akitaka kunganganiza hoja kwa mikelele bila pointi.Lisu kwenye midahalo ni zero.
Anabutua hakuna kuremba, kwani anatongoza? Hutaki kumsikiliza unapita kimya hujalazimishwa, wengi tunamuelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom