Tundu Lissu atishiwa Kifo

Tundu Lissu atishiwa Kifo

Moderators wakati mwingine kwa maoni yangu mnakuwa biased!. Hii post ni wazi imepotosha lakini mmeamua kuiacha tu!. Heading ya Post na alichokizungumza Tundu Lissu ni vitu viwili tofauti!. Please play the game fairly banaa!
 
Huyu Lissu anatafuta kiki. Namshauri akajifiche mahali halafu iandikwe ametekwa. Baadaye ajitokeze aeleze kuwa aliteswa sana kama Mandela. Hiyo kiki itachukua muda kufahamika ni janja tu.
 
Nani amtishie huyo maisha? Hivi kama kuna mtu ana nia naye kwa nini amtishie badala ya kufanya kimya kimya? Kick zingine za kipumbavu sana
Kwa lugha nyingine anaishawishi serikali ambayo yeye haitambui impe bodyguard hiyo kweli kiki
 
Ile barau ya kuomba kukutana na rais mwenzake ilijibiwa? Tanzania na maajabu yake. Hofu yake ni kuwa rais wa taasisi kibogoyo? Yeye hajui ukibogoyo si changamoto tena maana yako meno ya bandia na hupiga kazi kama kawa.


Na washawasha!
 
Nani amtishie huyo maisha? Hivi kama kuna mtu ana nia naye kwa nini amtishie badala ya kufanya kimya kimya? Kick zingine za kipumbavu sana
hata Ben saanane alitishiwa hivi hivi, leo yuko wapi
 
Hakuna mwenye hati miliki ya nchi hii..wauweni ndio mtatambua kuna vichaa ...
 
KWani kumuuwa mtu mpaka umtishie kwanza ujinga mtu,kama kunamtu anataka kumuuwa hana haja yakumtishia atamuuwa tu bila kumtisha.
 
Nani amtishie huyo maisha? Hivi kama kuna mtu ana nia naye kwa nini amtishie badala ya kufanya kimya kimya? Kick zingine za kipumbavu sana

Mpaka siku yakukute ndio utajua kuwa haya mambo ya kutishiana maisha si mzaha. Kuna watu kama wangimepewa switch ya kuzima uhai wa mtu ingekuwa balaa.
 
Wanaume hatutangazagi,ukitangaza ni dalili ya wale ubavu wetu, for gentleman ni kimya kimya

Huo ni uoga
 
Kufa ni suala liko kwa Mungu hvyo kama Allah hajaruhusu haitatokea vingenevo jamaa ni muoga tu
 
RAIS WA CHAMA CHA WANASHERIA (Tanganika Law Society - TLS) MH. MBUNGE TUNDU LISSU AMESHAURI CHAMA HICHO KUHAKIKISHA USALAMA KWA WANACHAMA WA TLS KUTOKANA NA MATISHIO YA VIFO.


Mungu ni Mungu wa vita.Tutashinda kwa hakika.
 
safari ya 2020 ni ndefu sana tutaendelea kushuhudia maajabu mengi zaidi.
Ni kweli mtashuhudia maajabu mengi ya mauaji ya kutisha na kupotea kwa wafuasi na viongozi wa vyama vya upinzani na wale wanaoonekana kupingana na nyinyi.
 
Back
Top Bottom