Tundu Lissu atishiwa Kifo

Tundu Lissu atishiwa Kifo

Nani amtishie huyo maisha? Hivi kama kuna mtu ana nia naye kwa nini amtishie badala ya kufanya kimya kimya? Kick zingine za kipumbavu sana
huyu sio mpumbavu kama unavyofikiria toka lin Lissu akatafuta kiki wakati kiki ndo zinamtafuta? mtafuta kiki ni yule mkuu wa wanakijan anayepiga kelele kwa tarumbeta kuwatisha na kuwakebehi wanaomkosoa huku akiwa amewaziba mdomo ili wasiongee chochote kuhusu kiki zake
 
Duniani tunapita hata wanaotishia wenzao kifo, wanaotesa au kuua wenzao nao WATAKUFA TU!!
 
hahahahahah ushamba wa wale jamaa wanahis wanaweza kila kitu maisha yenyewe ndio haya haya
 
Wasikutie hofu hao wapuuzi, Mungu aliyekuleta kuutetea ukweli hapa Tanzania atakulinda Daima.
 
Kama alichokuwa anapigania tundu lisu miaka ile ndio anachopigania magufuli leo hii ni sifa ya kipekee kwa lisu. Mungu akujalie maisha marefu lisu


Mustakabali wa nchi hii ni muhimu kuliko mustakabali wa watu wachache wagawa raslimali za nchi kwa wazungu, bure au kwa bei chee
 
RAIS WA CHAMA CHA WANASHERIA (Tanganika Law Society - TLS) MH. MBUNGE TUNDU LISSU AMESHAURI CHAMA HICHO KUHAKIKISHA USALAMA KWA WANACHAMA WA TLS KUTOKANA NA MATISHIO YA VIFO.

Mbona heading haiendani na maudhui....[emoji45] [emoji45]
Na nimemsikiliza Lisu, hakuna sehem ametamka kwamba ametishiwa kifo....[emoji69] [emoji69]
 
Huwa situmii bando zangu kutukana mtu. Hata ningekuita bwenge sitakuwa nabadili uelewa na kiwango cha elimu yako.

basi mi nakwita bwege sasa fanya utakacho mnafiki mkubwa wewe.....ungekua karibu ningekutoa bandama.
 
Inahuzunisha Ma-great thinkers mnashindwa kupata maana halisi ya hayo maneno ya Lisu!!
Amesema TLS inatishiwa kifo(kufutwa) sio kifo cha wanachama Wa TLS!!
Mleta mada think harder!!
 
Umetafsiri kipuuzi kabisa,anachosema walinde ni uhai wa chama chaTLS maana kimetishiwa kifo(kunyang'anywa uhuru wake)na sio uhai wa mtu wala sio mtu ametishwa kifo
 
Amuue nani huyu ana impact gani akiishi hata milele hapa duniani?
 
Back
Top Bottom