Tundu Lissu atishiwa Kifo

Tundu Lissu atishiwa Kifo

Mungu endelea kumlinda na kumpigania President Tundu Antipas Lissu..
Wewe wajua umuhimu wake kwa Taifa hili.
Amen.
Mungu huwa halindi watu waovu waovu, wezi na wala rushwa. Yaani mwisho wa siku huwaumbua na kuwaacha uchi.
 
Mbona hajapotezwa huyo mhuni?

Harafu anajiona kama bonge la mtu kubwe wengine tunaona rubbish tu.

acha bange bila kula wewe mwana lumumba hivi umemuelewa Tundu lissu kaongelea kifo gani?? kwa akili zenu zilivyofinyu mmeshindwa kuelewa kua anaongea kifo cha TLS na sio kifo chake ndio maana kawaomba wana sheria wote waungane katika hilo na kuhakikisha TLS haifi......sasa nyie mamba pori badala msikilize vizuri na muelewe mnakimbilia kuandika miharisho yenu ya lumumba hata kabla ya kutafakari kauli ya mheshimiwa nimeamini bashite ana mapacha wake wengi saaana katika hii nchi.
 
Nani amtishie huyo maisha? Hivi kama kuna mtu ana nia naye kwa nini amtishie badala ya kufanya kimya kimya? Kick zingine za kipumbavu sana
Kama za yule Mwenye bonde kichwani
 
Mtetezi wa Wantanzania. Ndugu zangu msichochee moto ambao mtashindwa kuuzima.
 
TL ni mjinga sana kama ataendelea hivi atakuwa mtu wa mihemuko na matukio.

"Always Fantasy' kills Dreams" by [HASHTAG]#Poise[/HASHTAG], JF 2017.
 
Huwa situmii bando zangu kutukana mtu. Hata ningekuita bwenge sitakuwa nabadili uelewa na kiwango cha elimu yako.
acha bange bila kula wewe mwana lumumba hivi umemuelewa Tundu lissu kaongelea kifo gani?? kwa akili zenu zilivyofinyu mmeshindwa kuelewa kua anaongea kifo cha TLS na sio kifo chake ndio maana kawaomba wana sheria wote waungane katika hilo na kuhakikisha TLS haifi......sasa nyie mamba pori badala msikilize vizuri na muelewe mnakimbilia kuandika miharisho yenu ya lumumba hata kabla ya kutafakari kauli ya mheshimiwa nimeamini bashite ana mapacha wake wengi saaana katika hii nchi.
 
Nani amtishie huyo maisha? Hivi kama kuna mtu ana nia naye kwa nini amtishie badala ya kufanya kimya kimya? Kick zingine za kipumbavu sana
Wewe ni mwendawazimu kweli tundulissu hana shida ya kicki!
Akiongea tu chochote ccm yote mnahangaika kumjibu
 
RAIS WA CHAMA CHA WANASHERIA (Tanganika Law Society - TLS) MH. MBUNGE TUNDU LISSU AMESHAURI CHAMA HICHO KUHAKIKISHA USALAMA KWA WANACHAMA WA TLS KUTOKANA NA MATISHIO YA VIFO.

Hakuna sehemu yeyote amesema kuwa anatishiwa kifo. Muwe munafungua link na kusoma au kusikiliza kilichopo kabla ya kuandika. watu wengine wanaanzisha thread bila kuwa na uelewa
 
Back
Top Bottom