Tundu Lissu atapewa" kesi ya kujibu

Tundu Lissu atapewa" kesi ya kujibu

Baada ya kukubaliana namna ya kuondoa kesi na sionekane kubwa serikali alimbambikia ksi "atapewa" kesi ya kujibu kisha muda mfupi baada ya kuanza utetezi ndipo Dpp ataleta ile "taarifa". (Rejea kesi ya FEM) Hii itawapa faraja wahafidhina kubwa pamoja na serikali kutoendelea na kesi bali alikutwa na kesi.
Vikwazo vitaongezeka na kudhihirisha udsm, si kitu silolote
 
Mbona kajibiwa na upande wa mashtaka ajiandae kujibu maelezo " ni kweli tutafanya uasi na uchaguzi wa october 2025 tutakinukisha kweli kweli "
So kumbuka kwa uchochezi huo mo29 palinuka kweli kweli, so anayo kesi ya kujibu
Mbona umeandika kama mtu usiye na akili!! Umekosa maarifa au huna akili ya kutosha.

Tudhihirishie kuwa una akili japo kidogo: nini maana ya uasi?
Lazima uwe mwendawazimu, punguani wa akili wa kiwango cha juu kabisa ndiyo utaamini Lisu ana kesi ya uhaini. Uwe mwendawazimu kabisa usiyejua hata maana ya uhaini.

Mawakili wa serikali na Mashahidi wao bandia wote walichokuwa wakifanya ni kuthibitisha kuwa Lisu hana kesi ya uhaini.
 
Mbona kajibiwa na upande wa mashtaka ajiandae kujibu maelezo " ni kweli tutafanya uasi na uchaguzi wa october 2025 tutakinukisha kweli kweli "
So kumbuka kwa uchochezi huo mo29 palinuka kweli kweli, so anayo kesi ya kujibu
Kauli tu ya kabla ya tukio la Oktoba 29 haiwezi kuwa na nguvu lakini pia haiwezi kuunganishwa na tukio la Oktoba 29, ndiyo maana hata ushahidi mpya dhidi ya Lissu ulikataliwa kupokelewa na mahakama.

Labda tu kushinikizwe kuwa ana kesi ya kujibu ila si kwa uzito wa kauli hiyo.
 
Kauli tu ya kabla ya tukio la Oktoba 29 haiwezi kuwa nguvu lakini pia haiwezi kuunganishwa na tukio la Oktoba 29, ndiyo maana hata ushahidi mpya dhidi ya Lissu ulikataliwa kupokelewa na mahakama.

Labda tu kushinikizwe kuwa ana kesi ya kujibu ila si kwa uzito wa kauli hiyo.
Kitendo cha kutishia kuua hata kabla hujaua kweli hiyo tayari ni kesi na lazima uijibu!!
 
Mbona kajibiwa na upande wa mashtaka ajiandae kujibu maelezo " ni kweli tutafanya uasi na uchaguzi wa october 2025 tutakinukisha kweli kweli "
So kumbuka kwa uchochezi huo mo29 palinuka kweli kweli, so anayo kesi ya kujibu
Unajichanganya we boya, hiyo ni kesi ya uhaini, huo uchochezi unatokea wapi? Ama ukiingia humu uko kama robot?
 
Wakae nae tu hukohuko waendelee kubishana.
Kasahau Chama, jimbo,mkewe na familia
Kutwa mahakamani.
 
TAL ameshawavua nguo now wamezificha nyeti kwa viganja sasa kama wanataka balaa zaidi wafanye hivyo wazidi kunuka kimtaa mtaa kama kukinukisha basi TAL amefanikiwa 💯 kukinukisha
 
Unajichanganya we boya, hiyo ni kesi ya uhaini, huo uchochezi unatokea wapi? Ama ukiingia humu uko kama robot?
Uchochezi wa kufanya uhaini, Uchochezi ni sentensi ambayo haijitoshelezi lazima iambatane na vishazi saidizi,
So kwa kufupisha, lissu alichochea uhaini.
 
Upumbavu tu! Subiri maamuzi we kima jike
Acha hasira hata kama "imepenya" Uamuzi utoke usitoke TAL atarudi uraiani very soon kuanzia sasa.

Lililo zuri kwa wananchi TAL ameweza kuithibitishia dunia na wananchi namna CCM inavyogandamiza haki, demokrasia na hata katiba hii japo ni mbovu.
 
Hivi kumbe CCM imeshiwa strategists kabisa , waliozeeka walishindwa kuandaa vijana au vijana ndio vilaza na kokoro la kubebwa CCM?
 
Lissu sio anatia janja, ni moja ya wanasheria top nchi hii? Remind me imechukua mashahidi wangapi kujaribu ku implicate kesi yake, how much amewagaraza mpaka sasa?

Oh tunakamata brenda rupia? Only kauli ya mjinga na mpumbav pale anaposhindwa ku deal na mtu size yake

Wewe huna akili huyu akiendelea kukaa jela mpaka 2029 alitoka anachukua Nchi mapema bora kumwachilia kwa sasa lakini ukisema uendelee kumtunza jela akitoa ni IKULU moja kwa moja
 
Back
Top Bottom