econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 23,872
- 36,999
Hizi stori zinafanya mahakama zetu zionekane hazifaiBaada ya kukubaliana namna ya kuondoa kesi na sionekane kubwa serikali alimbambikia ksi "atapewa" kesi ya kujibu kisha muda mfupi baada ya kuanza utetezi ndipo Dpp ataleta ile "taarifa". (Rejea kesi ya FEM) Hii itawapa faraja wahafidhina kubwa pamoja na serikali kutoendelea na kesi bali alikutwa na kesi.