Ila Katibu mkuu ccm amesema watatumia vyombo vya dola kujihakikishia ushindi!!! Kauli hii si ya kupuuzia. Kweli Lissu atashinda lakini anaweza kutangazwa mwingine!!!Wanaompinga Lisu kama wewe na mkeo ni negligible
Ila Katibu mkuu ccm amesema watatumia vyombo vya dola kujihakikishia ushindi!!! Kauli hii si ya kupuuzia. Kweli Lissu atashinda lakini anaweza kutangazwa mwingine!!!Wanaompinga Lisu kama wewe na mkeo ni negligible
Kwanamna magufuli alivyoiingoza nchi watz hawataki hata kumsikia hata ndani ya CCM yenyewe.Dunia ya wp hiyo!!?
Hata zile enzi za gharika hwakuamini gharika na Nuhu mpaka walipoteketea.Dunia ya wp hiyo!!?
Wazungu wana akili sana. Wakitaka kupata actual statistics huwa wanaangalia michango ya majukwaa ambayo watu wanatumia fake id’s kwa usalama wao kama humu na Twitter na pia kupitia watu mbaimbali.
Sasa Magu anadhani anapendwa kwa kusifiwa na wanafiki Ila huku ndo anatakiwa apime kama anapendwa au hapendwi
mkuu, usijiangaishe kufungua threads kila sku za lissu, ukweli ni kwamba hata kupata 1% ya kura ni mbinde! tuliwaonya sana kuhusu mwenendo wa chama chenu mkawa mnasema lissu anatupa sjui homa!
ona sasa ameenda dodoma amebaki anapungia miti hakuna mtu ana ham nae, kule jimbon kwa mbowe ndo kabisaa alikoswa mawe! Mungu akipenda tunaweza kupata KUB mwingine mstarabu zaidi, nyie endeleeni kujipa moyo uku mtandaoni ALUTA CONTINUA!!
Kwani Magufuli Dodoma wakati anaenda kuchukua fomu alipungia nini??mkuu, usijiangaishe kufungua threads kila sku za lissu, ukweli ni kwamba hata kupata 1% ya kura ni mbinde! tuliwaonya sana kuhusu mwenendo wa chama chenu mkawa mnasema lissu anatupa sjui homa!
ona sasa ameenda dodoma amebaki anapungia miti hakuna mtu ana ham nae, kule jimbon kwa mbowe ndo kabisaa alikoswa mawe! Mungu akipenda tunaweza kupata KUB mwingine mstarabu zaidi, nyie endeleeni kujipa moyo uku mtandaoni ALUTA CONTINUA!!
Unaonaje ukaenda Darasani kujifunza Lugha ya MaLIKIA, kwani post yako haiendani na kicho andikiwaKila kona ya nchi na dunia kwa ujumla wanasema Tundu Lisu ndiye mwenye nafasi ya ushindi ktk uchaguzi wa mwaka huu.
Na ndiyo maana hata jana 8/8/2020 alipokuwa akichukua fomu pale jijini Dodoma amefuatiliwa ktk social media na zaidi ya watu bilioni moja (1+ bil )
View attachment 1532191
Umma hauwezi kuchaguliwa kiongoziKwani tumeshapata tume huru ya uchaguzi??
Mnatafuta kiki kwa pikipikiKila kona ya nchi na dunia kwa ujumla wanasema Tundu Lisu ndiye mwenye nafasi ya ushindi ktk uchaguzi wa mwaka huu.
Na ndiyo maana hata jana 8/8/2020 alipokuwa akichukua fomu pale jijini Dodoma amefuatiliwa ktk social media na zaidi ya watu bilioni moja (1+ bil )
View attachment 1532191
Hizo kura ni za kina Chief Rutayosa Yemba au Kina Queen Sizinga au Kina Hashim Rungwe mziki wa Lissu ni 50%+Akipata 10% nitafute
Patachimbika! Maana Lisu hana simileIla Katibu mkuu ccm amesema watatumia vyombo vya dola kujihakikishia ushindi!!! Kauli hii si ya kupuuzia. Kweli Lissu atashinda lakini anaweza kutangazwa mwingine!!!
Unatakiwa ukisoma ujiongeze mkuuUnaonaje ukaenda Darasani kujifunza Lugha ya MaLIKIA, kwani post yako haiendani na kicho andikiwa
Wazimaji watazima wao Kwanza.Mnatafuta kiki kwa pikipiki
Ccm tutazima redio mbao zote
Kwani Magufuli Dodoma wakati anaenda kuchukua fomu alipungia nini??