naiman64
JF-Expert Member
- Nov 22, 2013
- 6,854
- 5,275
Dunia nyingine zipi?Lkn si imeandikwa na media za dunia nyingine hiyo? Kwani ni Channel ten hao?
Dunia nyingine zipi?Lkn si imeandikwa na media za dunia nyingine hiyo? Kwani ni Channel ten hao?
Kwa hiyo umekurupukaMm siyo kitengo mkuu
Wana lumumba ukiwaambia habari za kizungu unaonekana wewe ni mchocheziVanguard Africa Foundation inasomwa dunia nzima kwa lugha ya kigeni.
Hivyo ni sahihi maana kuna ukame wa habari ktk Kiingereza na hawa Vanguard wanaziba ombwe na kusaidia kufahamisha ulimwengu kinachoendelea sasa kutaka kumuondoa Magufuli kupitia sanduku la kura. Labda wale wa mtaa wa Lumumba nao waanzishe platform kwa Kiingereza kukataa matumaini yanayoaminiwa sasa na dunia kuwa kimbunga kitang'oa utawala huu wa CCM .
October inakuja itaongeaHumu watu wanatumia fake ID unajuwaje kama ni wafuasi wake au watanzania wasio na vyama ambao ni wapiga kura wengi kuliko hata hao wafia chama
ChaiKila kona ya nchi na dunia kwa ujumla wanasema Tundu Lisu ndiye mwenye nafasi ya ushindi ktk uchaguzi wa mwaka huu.
Na ndiyo maana hata jana 8/8/2020 alipokuwa akichukua fomu pale jijini Dodoma amefuatiliwa ktk social media na zaidi ya watu bilioni moja (1+ bil )
View attachment 1532191
Hii ndoto itakuwa ya alfajiri hazinaga maana jitahidi ndoto kama hii uiote saa 8 au 9 usikuWewe unazijua dunia ngapi.Tundu Lissu ana exposure kubwa duniani kuliko jamaa yenu.
Ningeandika unachokiamini na kupenda wewe ungetamani ulambe viatu kabisa. Sasa kwanini ujibizane na taahira?!?We ni tahira hujielewi...
Jiwe tupa kuleHii ndoto itakuwa ya alfajiri hazinaga maana jitahidi ndoto kama hii uiote saa 8 au 9 usiku
Kazi ya kuramba viatu ni yenu matagaNingeandika unachokiamini na kupenda wewe ungetamani ulambe viatu kabisa. Sasa kwanini ujibizane na taahira?!?
Mpe weweMagufuli 5 tena
2020 hawezi labda ajipange 2025Kila kona ya nchi na dunia kwa ujumla wanasema Tundu Lisu ndiye mwenye nafasi ya ushindi ktk uchaguzi wa mwaka huu.
Na ndiyo maana hata jana 8/8/2020 alipokuwa akichukua fomu pale jijini Dodoma amefuatiliwa ktk social media na zaidi ya watu bilioni moja (1+ bil )
View attachment 1532191
Unapaswa kuyajua yafuatayo:-2020 hawezi labda ajipange 2025
Mpaka sasa ana 70% sasa akiongeza na hizo za kwako pale October 28 maana yake atakua na 80%Akipata 10% nitafute
subiri oktoba 28 2020 utajua kama nimempa au kapewaMpe wewe
Kumbuka palipo na matokeo hasi, Kuna matokeo chanya, usiangalie mapungufu tu, ishu ya mauaji, kutekwa pamoja na kupigwa risasi kweli zinaumiza na zinamgusa mtu mmoja mmoja na ni ishu za kijamii, suala la malipo ya mifumo ya serikali linakuwa la mlolongo lakini watalipwa, Maadam upinzani uwe chachu ya kuleta maadili ya walioshika dola.Unapaswa kuyajua yafuatayo:-
- Tuliopotelewa na ndugu zetu kwa utekaji tuko wengi.
- Tuliopata hasara ktk mazao yetu, mfano korosho, tuko wengi.
- Tuliopotelewa na ndugu zetu wakakutwa kwenye viroba tuko wengi.
- Tuliosomesha watoto halafu hawajapata ajira tuko wengi.
- Tulioumizwa na ubaguzi, matusi na dharau tuko wengi
- Tuliofilisika kwa sera ya "matajiri wataishi kama mashetani tuko wengi.