johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,978
- 141,995
Katika salamu zake za kuhitimisha ziara ya Kanda ya Ziwa Victoria makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu amewashukuru Wananchi Wote kwa mahudhurio makubwa katika mikutano yao.
Tundu Lisu amewaomba Wananchi wajitokeze kwa wingi na kuipigia kura Chadema katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 na Uchaguzi mkuu 2025.
Lisu amesisitiza ije mvua lije jua 2025 Sanduku la Kura litaiondoa CCM madarakani.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Tundu Lisu amewaomba Wananchi wajitokeze kwa wingi na kuipigia kura Chadema katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 na Uchaguzi mkuu 2025.
Lisu amesisitiza ije mvua lije jua 2025 Sanduku la Kura litaiondoa CCM madarakani.
Mungu wa mbinguni awabariki sana!