Unafki upo kwenye katiba ya chama cha kijani.Wanafaki sana hawa jamaa. Wakati mwenyekiti wao anahangaika kuzuia Lisu asigombee walikuwa wanashangilia kila anapokamatwa na kuwekwa lupango, bila kujua kuwa matendo hayo yalikuwa yanampa promo. Watu tukawa tunajiuliza, kuna nini TLS hadi serikali inahaha na Lisu?
Leo ameshinda, wanaanza kugeuza maneno.
Unafiki mbaya sana.
Mkuu hiyo habari ni 100% sureHAIWEZEKANI? Sitaamini mpaka nikaone!!!! Duh ila kama kweli, shughuli pevu sasaasa!
Unaweza ukawa hata TLS umeijua Leo ... Maraisi wa TLS wa hivi karibuni wamekuwa hawana hata courage ya kufile case court kupinga uvunjifu wa sheria kama jamani...... Simaanishi lawyers hawawezi ila long time wamekosa kiongozi wa kuwaongoza....Kwa hiyo Mawakili wetu walishindwa kuyapinga hayo Mahakamani mpaka uchaguzi wa TLS ufanyike??..
Leo nimegundua kuwa CCM inachaguliwa kwa wingi na mambumbumbu
Mwakyembe akameze panadolChuki, Husda, Visasi, Vijiba vya roho, huyo mtu anaumia dunia nzima sasa hivi....
Ndio maanake.Okay..Kumbe Lissu kaja na meno ya TLS..
Lissu kama Lissu amewahi kukaa kimya?..Unatarajia kipi kipya mkuu.....hii ni jumuiya ya wanasheria.
..kwa hiyo siyo rahisi kwa mtu wa kawaida kujua umuhimu, impact, pamoja mchango wa TLS, ktk taifa
letu.
..kwa maoni yangu anayeogopwa na Magufuli na Mwakyembe ni TUNDU LISSU na siyo TLS.
..Magufuli ameonyesha mwenendo wa kuingilia mhimili wa mahakama na kutozingatia sheria.
..sasa haitegemewi kwamba Tundu Lissu akiwa Raisi wa Law Society atakaa kimya kama watangulizi wake ikiwa Magufuli ataendeleza mtindo wake wa kuingilia mahakama, kutozingatia sheria, na kuwatisha wanasheria.
Aisee...Ndio maanake.
Yaani hii inaitwa usiyempenda kaja.
Inabidi madaktari wasikae mbali nayeHahahaha huko aliko huyo mungu mtu sijui ana hali gani!!
Mkuu leo siyo siku ya maswali na majibu, leo ni chereko tu haki imeshinda udhalimu.Tuachane na hizo chokochoko....
TLS imeundwa lini?...Na imefanya nini tangu iundwe?...
Ni ipi hasa impact ya TLS...Naomba kujua..
TLS (kwa kufuata maudhui ya kuanzishwa kwake) inaweza kumzuia Rais asifanye kazi zake?, au serikali isifanye inachoona ni sahihi?...
Halafu, kuna sehemu nilisoma serikali imeshaandaa muswada wa kuifuta TLS na kuanzisha chombo kingine kitakachowasimamia wanasheria....imekaaje hii...
Naomba tu kujua Chifu....