Mbn wa kwako wanaendeshwa na political motives huoni jamaa yako anazuia hata wa bunge wake kusalimiana na wenzao, usimfundishe kazi paka wewe. Figisu zooote mbn kashinda tunataraji kelele nyingi zitaanza kupigwa sasa kwa serikali yenu yenye mihemko na isiyo zingatia katiba na utawala bora. Mikataba mibovu na serikali isiyozingatia maamuzi ya bunge na kufuata bajeti.Bavicha na Bawacha mna matatizo...mnadhani kashinda urais wa nchi?
Hicho chama ni sawa na chama cha wakulima wa Tumbaku Tanganyika....au chama cha madaktari Tanganyika. Huyo Makonda ataendelea kuwa RC mtake msitake na huu ndio ukweli kwakuwa kijana anafanya kazi vizuri na nyie mafisadi matumbo joto...
Hongera Lissu kwa kushinda sasa fanya kazi bila kuendeshwa political motives zako..
Tunacho nitaji ni kelele tu zinatosha ili sisi wananchi tuelewe sheria na taratibu zinavyo vunjwa.
Chama cha mawakili (TLS) kumchagua wakili msomi na machachari mhe.Tundu Lissu tutarajie kufutwa na kuanzishwa chama kipya cha kutetea wanasheria Tanganyika !