Tundu Lissu ashinda Urais wa Chama cha wanasheria nchini (TLS) kwa kupata 88% ya kura

Waziri Wa SHERIA na katiba kampigia sana Lisu kampain na serikali kwa ujumla wake.waliokwenda mahakamani wamepiga debe la kufa MTU.jumatatu mutaungana na Mea Wa Kinondoni kuonyesha umahiri na weledi.Hongera.
 
Unaweza ukawa hata TLS umeijua Leo ... Maraisi wa TLS wa hivi karibuni wamekuwa hawana hata courage ya kufile case court kupinga uvunjifu wa sheria kama jamani...... Simaanishi lawyers hawawezi ila long time wamekosa kiongozi wa kuwaongoza....


Unawafahamu LHRC na Angeline kidjo ??? Pale kuna wabobezi wa sheria ... Kama unakumbuka enzi za kikwete walimburuza MAHAKAMANI Waziri mkuu mizengo pinda kwa ile kauli yake WAPIGWE TU...


Unajua kwanini sasa hivi wapo kimya japo kuna law breaching nyingi???



Hilo swali mpeleke mwakyembe wewe huwezi kujua
Nonsense..

Matokeo ya hiyo kesi ya 'Wapigwe tu' yalikuwaje?..

Haujui hata unachokiandika then unasema nimeijua leo TLS...SMH...

Kama hauwajui hata akina Dk. Hellen Kijo Bisimba then unajinasibu unaifahamu TLS si nitakuwa napoteza muda wangu kubishana nawe?

Sioni haja ya kubishana na mtu ambaye anamchanganya mwanamuziki wa Benin Angelique Kidjo na Mwanasheria nguli Dk Hellen Kijo Bisimba...
 
TLS ilikuwa haina meno lengo lao kuu ilikuwa ni kutoa majina ya watu ili wateuliwe kuwa majaji sasa aliyopo co MTU wa sport sport
 
d13b53f979c3912620bc8f46ddd6de7c.jpg
 
Kwa hiyo tundu lissu na yeye ni amiri jeshi mkuu,maaana manyumbu mmefurahi as if mmechukua nchi.Yaani sipati picha hivi siku mkishinda urais wa nchi si mtatembea uchi kweli?
 
Wajumbe wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), leo wamefanya uchaguzi wa kumchagua rais pamoja na wajumbe wa ngazi mbalimbali za uongozi wa chama chao.

Uchaguzi huo umefanyika mjini Arusha ambako wanachama wa TLS wamekutana kutekeleza ratiba hiyo pamoja na kupanga mipango mbalimbali ya utendaji kazi wa chama hicho.


Matokeo ni kama ifuatavyo:



Urais: Kura zilizopigwa 1682

Tundu Lissu 1411 sawa na asilimia 88Francis Stolla 64 Victoria Mandari 176 Godwin Mwapongo 64

==>Kwa upande wa nafasi ya Makamu wa Rais (TLS) mshindi ni Godwin Ngwilimi aliyekuwa Mwanasheria wa Tanesco na kutimuliwa kwa kupinga Escrow.


Council Members

Jeremiah MotebesyaGida LambajiHussein MtembwaAisha SindaSteven AxwesoDavid ShilatuDaniel Bushele
 







Wajumbe wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), leo wamefanya uchaguzi wa kumchagua rais pamoja na wajumbe wa ngazi mbalimbali za uongozi wa chama chao.

Uchaguzi huo umefanyika mjini Arusha ambako wanachama wa TLS wamekutana kutekeleza ratiba hiyo pamoja na kupanga mipango mbalimbali ya utendaji kazi wa chama hicho.

Matokeo ni kama ifuatavyo:

Urais: Kura zilizopigwa 1682

  1. Tundu Lissu 1411 sawa na asilimia 88
  2. Francis Stolla 64
  3. Victoria Mandari 176
  4. Godwin Mwapongo 64
==>Kwa upande wa nafasi ya Makamu wa Rais (TLS) mshindi ni Godwin Ngwilimi aliyekuwa Mwanasheria wa Tanesco na kutimuliwa kwa kupinga Escrow.

Council Members

  1. Jeremiah Motebesya
  2. Gida Lambaji
  3. Hussein Mtembwa
  4. Aisha Sinda
  5. Steven Axweso
  6. David Shilatu
  7. Daniel Bushele
 
Back
Top Bottom