johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,976
- Thread starter
- #21
Siyo raia ni mkaazi tu!Hii umeelewaje mleta mada? Siyo kwamba ni raia wa Ubelegiji.
Siyo raia ni mkaazi tu!Hii umeelewaje mleta mada? Siyo kwamba ni raia wa Ubelegiji.
Moja ya sababu iliyomnyima kura yanguHivi hakuna sheria inayokataza mgombea nafasi ya urais kuwa mkazi wa nchi zaidi ya Tanzania?
Lisu alikuwa kaweka mguu mmoja ndani mguu mwingine nje.
Bad look!
Rubbish, is this news umeona ulete hapaAliyekuwa mgombea urais wa Chadema mh Tundu Lisu amewasili salama salimini nchini Ubelgiji.
Tundu Lisu amesema ameamua kwenda kuishi Ubelgiji na siyo sehemu nyingine kwa sababu ameshakaa nchini humo kwa miaka mitatu na kwamba ana hati ya ukaazi ya nchi hiyo.
Source BBC Dira ya Dunia
Maendeleo hayana vyama!
Ametuletea sisi. Wewe pita tu kama hujaiona mkuu!Rubbish, is this news umeona ulete hapa
Hata wewe umekua lipumbavu misukuma cjui mpoje hivi ukazi ni uraia??Hivi hakuna sheria inayokataza mgombea nafasi ya urais kuwa mkazi wa nchi zaidi ya Tanzania?
Lisu alikuwa kaweka mguu mmoja ndani mguu mwingine nje.
Bad look!
Hii inteligensia yako ni zaidi ya Sea-I-A ya "Mar-re-car-ney."Huyu alitaka ukimbizi ubalozi wa Ujerumani kwa sababu kule fedha yake ni nyingi akakwama lakini wakamshauri arudi kule alipokuwapo yaani Ubelgiji. Ukiangalia kwa nini hakujisalimisha ubalozi wa Ubelgiji? Unajua Ujerumani wanamfadhili Zito miaka mingi sasa Lisu roho imemtoka anataka fedha kama anazopata zito
Mzee kumbe wewe upo chato eee..Hivi hakuna sheria inayokataza mgombea nafasi ya urais kuwa mkazi wa nchi zaidi ya Tanzania?
Lisu alikuwa kaweka mguu mmoja ndani mguu mwingine nje.
Bad look!
Usilinganishe hao watu na uchafu mwingine kama huyo nduguyo.Hata wewe ukitaka, unaweza kwenda. Niliishi Brussels kwa miaka 2 ya masomo. Na nilikuwa na kibali cha ukaazi. Masomo yalipoisha, nikarudi Tanzania. Hakuna la ajabu.
Akina Mandela, Thabo Mbeki, Sam Nujoma, Eduardo Mondlane na wengine wameishi Tanzania. Nyerere aliwapa pasipoti ya Tanzania kusafiria. Hali iliporuhusu, wakarudi kwao wakiwa mashujaa.
Siku akirudi kugombea nafasi yoyote inabidi apimwe marinda kabla ya kuruhusiwa kufanya hivyo.Kama unataka connection ya kwenda kuishi Canada na Australia sema, achana na kumuonea wivu Lissu kwa kwenda zake kuishi mamtoni!
Huyu alitaka ukimbizi ubalozi wa Ujerumani kwa sababu kule fedha yake ni nyingi akakwama lakini wakamshauri arudi kule alipokuwapo yaani Ubelgiji. Ukiangalia kwa nini hakujisalimisha ubalozi wa Ubelgiji? Unajua Ujerumani wanamfadhili Zito miaka mingi sasa Lisu roho imemtoka anataka fedha kama anazopata zito
Nawaelewa sana😁😁😁😁Hii inteligensia yako ni zaidi ya Sea-I-A ya "Mar-re-car-ney."
Serikali ya Tanzania inakataa uraia pacha kwa Watanzania halisi waliozaliwa na kukulia Tanzania ambao kila siku wanatuma mamilioni ya pesa nyumbani, kufungua miradi na kusaidia ndugu, jamaa na marafiki lakini wanawakubalia raia wa Caribbean kukaa Tanzania bila ya Visa. Huu ni ujinga wa hali ya juu unaofanywa na serikali ya CCM.Wanazidi kuipa sababu JMTZ kukataa Uraia pacha, cha ajabu diaspora wanamshangilia Tundu kwa ujinga wake lkn wanazidi kujiaharibia huku Bongo, Uraia Pacha wasahahu, na ndiyo mnauhitaji wala msitake kujifanya hamuhitaji, ...
Alitaka kuja kuwafanyia uhuni wahuni zaidi yakeHivi hakuna sheria inayokataza mgombea nafasi ya urais kuwa mkazi wa nchi zaidi ya Tanzania?
Lisu alikuwa kaweka mguu mmoja ndani mguu mwingine nje.
Bad look!
Hayana chama wakati wengine wanawindwa.Aliyekuwa mgombea urais wa Chadema mh Tundu Lissu amewasili salama salimini nchini Ubelgiji.
Tundu Lissu amesema ameamua kwenda kuishi Ubelgiji na siyo sehemu nyingine kwa sababu ameshakaa nchini humo kwa miaka mitatu na kwamba ana hati ya ukaazi ya nchi hiyo.
Chanzo: BBC Dira ya Dunia
Maendeleo hayana vyama!
Ukishakuwa mpambe wa CCM lazima uwe na Akili Kinyesi Kubwa Jinga ZumbukukuSiku akirudi kugombea nafasi yoyote inabidi apimwe marinda kabla ya kuruhusiwa kufanya hivyo.
Beberu si watu poa saana.
Wameharibu maisha ya watoto wa willy smith, na akina jay z