Tundu Lissu arejee nyumbani Mara moja

Tundu Lissu arejee nyumbani Mara moja

Hapana hata kama mamlaka inahusika...shida inakuwa wapi kushinikiza ndani na nje...?.. kwa hiyo akae kimya? kama mamlaka inahusika kwanini usikusanywe ushahidi na mamlaka hiyo iliyopiga mtu marisasi yote yale ikashitakiwa popote pale ndani au nje na kesi ikaunguruma...CDM kwa nini wasikodi special agents kutoka kwa ajili ya investigations na kukusanya ushahidi, CDM kwanini wasipige kelele jumuiya za kimataifa kuomba uchunguzi huru juu ya mtu kupigwa marisasi na wengine kupotea?
Wewe uko wapi huko usipoweza kuyaelewa haya unayouliza? Mbona yote hayayamekwisha kufanyika. Utamshtaki asiyeshtakiwa kisheria tena kwa wateule wake ndio waiamue kesi yake, are you serious? Sidhani kama mna nia njema dhidi ya hawa watu au labda hamuelewi nini kinaendelea. Mmeshindwa kujifunza kwenye hii kesi ya Mbowe.

Nashauri CDM si wakati sahihi wa kuwaita Lisu na Lema nchini WATAISHA. Chama kitapoteza pakubwa sana na hata kuingia mikononi mwa madhalimu. Tupambane tumalize kesi ya mwamba kwanza.
 
Ni muda Sasa wa Tundu Lissu kurejea nyumbani no matter what.

Hata Kama akirudi wakamuua Hana Cha kupoteza Tena

Chadema haina kiongozi kwa Sasa Mnyika Ni kiongozi goigoi mno na siasa za kimbogo ambazo zimepitwa na wakati kwa utawala wa Sasa wa Ccm.

Chadema kinatakiwa kurejea na kuwaambia wanachama wake Hali halisi na wanachama watapakae kote vijijini kuimalishwa kwa chama kuelekea uchaguzi 2025.

Lissu akiendelea kukaa Ulaya hiki chama kinakufa kwa ujinga wa kuwaruhusu majasusi waendeshe chama.

Lazima chadema ya Harakati za ukweli irejee haraka Sana na kuanza siasa Kali za nguvu ya umma kuelekea uchaguzi 2025.

Pesa zipo watu wenye mapenzi na chama tutachanga Kama chama kitasimama na kutetea maisahi ya wanachi.

Hakuna Cha kuogopa kesi za kiuni Lema pia arudi nyumbani mapambano yaendelee wajenge chama mpaka vijijini wagawe kadi pesa zipatikane operation zote zifanyike.

Katiba mpya muda wa kuidai Ni Sasa na Hawa jamaa hawatakaa walete katiba kwakucheana chekeana .

Nashauri Lissu na Lema warejee Hawa ndio wanaweza kuongoza mapambano ya kudai katiba wakaeleweka.

Chadema kipo kwenye the point of no return kulia Lia sio lazima Tena Ni kufanya vitendo.

Kwa mfano unaandaa makongamano ya katiba kila kata Nchi nzima watawakamataje? Hata wakiwakamata kwa mfano kata ina wanachama 1000 wamekuja kwenye mkutano watawafunga wapi .

Lazima tubadilike huu utawala wa ccm wa Sasa sio watu wa kuwakenulia meno.

Andaa makongamano Nchi nzima kwa muda mmoja na yamalizike kwa muda mmoja.

Haya Mambo ya kuwaachia Bawacha na Bavicha chama sikubaliani hata kidogo.

Wengine tupo tayari kuchangia chama frequently pesa za operation za kila siku za movement za kudai katiba.
Omba uenyekiti wewe utekeleze hayo na sio kuchongea wenzako kisha uanze kuwaona kwenye TV au social media wakiteseka wakati wewe unakunywa supu kwako umekunja nne kisha una waandikia komaeni uhuru upatikane 😁😁😁
 
CHADEMA ina viongozi kuanzia wilayani, mikoani hadi Taifa. Kila mmoja awajibike. Waige mfano wa CHADEMA Mbeya haimtegemei Lisu wala Lema.

Mikoa mingine mjifunze kutoka Mbeya.
 
I don't see this hapenning..!!!

I really Don't.
 
Hivi vyama vingine vya siasa vina kazi gani yaan hata kukemea kuongea wameshindwa
 
Ni muda Sasa wa Tundu Lissu kurejea nyumbani no matter what.

Hata Kama akirudi wakamuua Hana Cha kupoteza Tena

Chadema haina kiongozi kwa Sasa Mnyika Ni kiongozi goigoi mno na siasa za kimbogo ambazo zimepitwa na wakati kwa utawala wa Sasa wa Ccm.

Chadema kinatakiwa kurejea na kuwaambia wanachama wake Hali halisi na wanachama watapakae kote vijijini kuimalishwa kwa chama kuelekea uchaguzi 2025.

Lissu akiendelea kukaa Ulaya hiki chama kinakufa kwa ujinga wa kuwaruhusu majasusi waendeshe chama.

Lazima chadema ya Harakati za ukweli irejee haraka Sana na kuanza siasa Kali za nguvu ya umma kuelekea uchaguzi 2025.

Pesa zipo watu wenye mapenzi na chama tutachanga Kama chama kitasimama na kutetea maisahi ya wanachi.

Hakuna Cha kuogopa kesi za kiuni Lema pia arudi nyumbani mapambano yaendelee wajenge chama mpaka vijijini wagawe kadi pesa zipatikane operation zote zifanyike.

Katiba mpya muda wa kuidai Ni Sasa na Hawa jamaa hawatakaa walete katiba kwakucheana chekeana .

Nashauri Lissu na Lema warejee Hawa ndio wanaweza kuongoza mapambano ya kudai katiba wakaeleweka.

Chadema kipo kwenye the point of no return kulia Lia sio lazima Tena Ni kufanya vitendo.

Kwa mfano unaandaa makongamano ya katiba kila kata Nchi nzima watawakamataje? Hata wakiwakamata kwa mfano kata ina wanachama 1000 wamekuja kwenye mkutano watawafunga wapi .

Lazima tubadilike huu utawala wa ccm wa Sasa sio watu wa kuwakenulia meno.

Andaa makongamano Nchi nzima kwa muda mmoja na yamalizike kwa muda mmoja.

Haya Mambo ya kuwaachia Bawacha na Bavicha chama sikubaliani hata kidogo.

Wengine tupo tayari kuchangia chama frequently pesa za operation za kila siku za movement za kudai katiba.
Hayupo wa kumuua ,yeye,Lema na Mbowe alieko gerezani wanajua kinachowakalisha huko ughaibuni,
Rejea, mmoja alitolekea Kenya kisha kuomba uraia kanada ,mwingine akaokolewa na mabalozi,kama hujui kinachowakalisha huko pamoja na kujifanya wanamuogopa Magufuli na hayupo,lakini wanajua uhuni walotaka kulifanyia taifa hauvumiliki hata kidogo
 
Ndio hivyo huwezi kutukana mtu ambaye hayupo

Hawezi kujitetea Tena

Ambaye ameshafuga kitabu chake hapa duniani

Ni kujitafutia laana tu katika siasa tunapambana na waliopo madarakani sio waliotoka au kufa.
Makini sana
 
Acheni siasq za kiharakati kuwe i na mikakati wakuu... kila siku mnaambiwa hamsikii.
CCM itaendelea kudunda kwasababu hampo serious
 
Ni muda Sasa wa Tundu Lissu kurejea nyumbani no matter what.

Hata Kama akirudi wakamuua Hana Cha kupoteza Tena

Chadema haina kiongozi kwa Sasa Mnyika Ni kiongozi goigoi mno na siasa za kimbogo ambazo zimepitwa na wakati kwa utawala wa Sasa wa Ccm.

Chadema kinatakiwa kurejea na kuwaambia wanachama wake Hali halisi na wanachama watapakae kote vijijini kuimalishwa kwa chama kuelekea uchaguzi 2025.

Lissu akiendelea kukaa Ulaya hiki chama kinakufa kwa ujinga wa kuwaruhusu majasusi waendeshe chama.

Lazima chadema ya Harakati za ukweli irejee haraka Sana na kuanza siasa Kali za nguvu ya umma kuelekea uchaguzi 2025.

Pesa zipo watu wenye mapenzi na chama tutachanga Kama chama kitasimama na kutetea maisahi ya wanachi.

Hakuna Cha kuogopa kesi za kiuni Lema pia arudi nyumbani mapambano yaendelee wajenge chama mpaka vijijini wagawe kadi pesa zipatikane operation zote zifanyike.

Katiba mpya muda wa kuidai Ni Sasa na Hawa jamaa hawatakaa walete katiba kwakucheana chekeana .

Nashauri Lissu na Lema warejee Hawa ndio wanaweza kuongoza mapambano ya kudai katiba wakaeleweka.

Chadema kipo kwenye the point of no return kulia Lia sio lazima Tena Ni kufanya vitendo.

Kwa mfano unaandaa makongamano ya katiba kila kata Nchi nzima watawakamataje? Hata wakiwakamata kwa mfano kata ina wanachama 1000 wamekuja kwenye mkutano watawafunga wapi .

Lazima tubadilike huu utawala wa ccm wa Sasa sio watu wa kuwakenulia meno.

Andaa makongamano Nchi nzima kwa muda mmoja na yamalizike kwa muda mmoja.

Haya Mambo ya kuwaachia Bawacha na Bavicha chama sikubaliani hata kidogo.

Wengine tupo tayari kuchangia chama frequently pesa za operation za kila siku za movement za kudai katiba.
kwa kuanza weka namba zako jina lako kamili achana na ma keyboard haya na bunge lenu la space
 
Wanaokamatwa ni viongozi na wahudhuriaji wachache, swali nani awe mbuzi wa kafara?.
 
Lissu angetaka hela ya bure, angetangaza mpango wa kurejea nchini mwaka huu. Kwa jinsi wanavyomfahamu naamini watakuwa tayari “kumvika” kiasi kisichopungua US$ 2.0 million akiwapa guarantee kwamba hatarudi wala kujihusisha na harakati za CHADEMA tena.

Bahati mbaya yule mtu ana allergy kubwa na pesa za rushwa/hongo. Halafu kama vile kuigonga nyundo serikali ndio hobby yake kubwa.
 
UKWELI NI HUU ....WATOZONIA WENGI NI WAOGA , WAFIKI , WASALITI NA WAONGO SANA .....

unaweza ukaanzisha harakati Leo ,, wakakubaliana na wewe kwa maneno tu , Ila physically they are not ready ......

UOGA
UNAFIKI
USALITI
NK.....ni kikwazo kikubwa kwa nchi kama Tozonia kupiga hatua mbele......

Homework kivipi tunaweza kuondoa uoga na unafiki ndani ya mioyo na mabichwa ya watz ???
(Jadili hoja hii kwa mifano kuntu ).
 
mh!! Lissu akirudi basi mama atakuwa ameruka mkojo, na kukanyaga mavi. Heri angebakia na mbowe waendeshane taratibu kuliko mwamba TUNDU ANTIPHAS LISSU, aliyeshindikana. Mwamba wa upinzani Africa.
Lissu ana umwamba gani zaidi ya ule wa matusi ya nguoni.
 
UKWELI NI HUU ....WATOZONIA WENGI NI WAOGA , WAFIKI , WASALITI NA WAONGO SANA .....

unaweza ukaanzisha harakati Leo ,, wakakubaliana na wewe kwa maneno tu , Ila physically they are not ready ......

UOGA
UNAFIKI
USALITI
NK.....ni kikwazo kikubwa kwa nchi kama Tozonia kupiga hatua mbele......

Homework kivipi tunaweza kuondoa uoga na unafiki ndani ya mioyo na mabichwa ya watz ???
(Jadili hoja hii kwa mifano kuntu ).
Tatizo kubwa ni kwa watu kama wewe. Unahamasisha na siku inapofika unajificha ndani kuacha wengine wafanye kazi chafu. Watanzania wajanja kweli. Wanapoona kuna mtu au watu wanataka kuwaingiza choo cha kike, wanashtuka.
 
Tatizo kubwa ni kwa watu kama wewe. Unahamasisha na siku inapofika unajificha ndani kuacha wengine wafanye kazi chafu. Watanzania wajanja kweli. Wanapoona kuna mtu au watu wanataka kuwaingiza choo cha kike, wanashtuka.
SASA NI SAA NNE KAMILI.
 
kwani dr slaa yuko wapi huoni kama angetuuza kwa bei chee
Kama walivyowauza wale wote waliyotofautiana na Mbowe. Kwa mfano Makurya (Wakurya) wachache walijipendekeza kwa Mbowe, hata baada ya Mbowe kumuua Chacha Wangwe.
 
Lisu arejee kingine mbowe waachane nae serikali ijiamulie yenyewe mawakili wote wajitoe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom