technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 13,563
- 57,888
- Thread starter
- #21
Ni vizuri wakifute ndio tukinukishe kabisaWarudi kuja kufanya nini wakati kama mkiambiwa muandamane hamuonekani?
Hizo aina ya siasa unazozitaka isipotumika akili ndio mtampa msajili nafasi ya bure kukifuta chama.
Haya mambo yanavyokwenda mnakuwa provoked makusudi, mkirudisha tu wanakifuta chama.
Hizi sarakasi zote za jaji kuamua shauri kwa kufuata maoni yake badala ya kuangalia sheria inasema nini ndio mipango yenyewe yakuwapandisha mori kama uliopandisha hapa, na ukirusha jiwe tu, Chadema itabaki historia.
Haya mambo ya serikali kwa Chadema ni kwenda nayo taratibu huku ikiangaliwa sheria inasema nini, uamuzi wowote wa kukurupuka toka kwa viongozi na wanachama wa Chadema utakwenda kutumiwa na msajili effectivelly.
Wadanganye wajichanganye