Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 875
- 4,101
Wanasiasa kama Lissu naelewa siyo wafanyabiashara, hawana maono yakumiliki Mali, siyo wezi na wameumbwa kupambana wakati wote na matajiri.
Lakini pamoja na ukweli kwamba siyo watu wa kujilimbikizia Mali upo umuhimu wa kufahamu anamiliki nini hapa nchini? Anamiliki kampuni gani? Ana ukwasi kiasi gani?
Tunajiuliza haya maswali Kwa Sababu yeye mwenyewe NI muumini wa kulazimisha watu kuweka wazi taarifa zao za Mali; wapi tutapata taarifa zake za Mali anazomiliki?
Mwisho tukijua Mali anazomiliki tutajua kama atarejea nchini hivi karibuni kuendelea na siasa au ataendelea kibali huko ulaya nakufanya kazi zakumwezesha kulipa gharama za kuendesha familia.
Chawa WA CHADEMA tuambie mgombea Urais wenu ana ukwasi kiasi gani?
Lakini pamoja na ukweli kwamba siyo watu wa kujilimbikizia Mali upo umuhimu wa kufahamu anamiliki nini hapa nchini? Anamiliki kampuni gani? Ana ukwasi kiasi gani?
Tunajiuliza haya maswali Kwa Sababu yeye mwenyewe NI muumini wa kulazimisha watu kuweka wazi taarifa zao za Mali; wapi tutapata taarifa zake za Mali anazomiliki?
Mwisho tukijua Mali anazomiliki tutajua kama atarejea nchini hivi karibuni kuendelea na siasa au ataendelea kibali huko ulaya nakufanya kazi zakumwezesha kulipa gharama za kuendesha familia.
Chawa WA CHADEMA tuambie mgombea Urais wenu ana ukwasi kiasi gani?